Ushauri mzuri nami nawashauri hasa mmiliki wa cloud asimpe mamlaka makubwa Ruge atamharibia biashara yake, Na Mh Sugu si wakati wa kulumbana na kuonyeshana Ubabe Umekua sasa Tengeneza marafiki zaidi acha mabo ya kitoto yatakuaibisha na yatawafedhehesha waliokupigia kura