Wana jf,
Naomba mchango wa mawazo.
Ninatarajia kusafiri mwezi wa 12 kutoka Dar kwenda Mwanza(sijaenda miaka mingi sana).
Kuna mtu mmoja mwenyeji wa Mwanza(hajaenda siku nyingi kidogo) anasema wakati wa mvua safari za kutoka Dar kwenda Mwanza huwa zinasumbua kwakuwa barabara ni mbovu na train hujaa sana tena mapema, lakini jana kuna mtu mwingine aliniambia kuwa sehemu kubwa kwa sasa kuna lami hivyo bara bara si tabu tena na huenda mpaka miezi hiyo kutakuwa na lami toka Dar mpaka Mwanza.
Nombeni mchango wenu kwa wale mnaofahamu.
Asnteni.
Naomba mchango wa mawazo.
Ninatarajia kusafiri mwezi wa 12 kutoka Dar kwenda Mwanza(sijaenda miaka mingi sana).
Kuna mtu mmoja mwenyeji wa Mwanza(hajaenda siku nyingi kidogo) anasema wakati wa mvua safari za kutoka Dar kwenda Mwanza huwa zinasumbua kwakuwa barabara ni mbovu na train hujaa sana tena mapema, lakini jana kuna mtu mwingine aliniambia kuwa sehemu kubwa kwa sasa kuna lami hivyo bara bara si tabu tena na huenda mpaka miezi hiyo kutakuwa na lami toka Dar mpaka Mwanza.
Nombeni mchango wenu kwa wale mnaofahamu.
Asnteni.