Urais wa ZZK 2015: Ngoma Ikivuma Sana...!.

Mimi niliyemjulia Zitto kwenye sakata la Buzwagi tu na kuanza kumshabikia sana kuanzia wakati huo hadi kufikia kumtetea hata wakati alipokuwa akiandamwa kuhusu uhusiano wake na marehemu Amina Chifupa wakati huo aliyekuwa mke wa mtu, nimekuwa dissapointed sana kugundua kuwa mtu huyu ni populist na opportunist tu. Nimeanza kukubaliana na wote waliokuwa wakisema jamaa hana lolote la maana, kila jambo analoongea liko calculated kumnufaisha binafsi!

Badala ya kushughulikia mamabo ya nchi, na wakati wa uchaguzi ukifika ndipo ashughulike na mambo ya uchaguzi, yeye amekuwa bize kushughulika na kampein za mwaka 2015. Hii taipu ya akina Kikwete, Nixon na Romney wanaopiga kampeini kwa muda mrefu sana huwa ni watu hatari sana wanapoingia madarakani.

Sijui kama kuna watu wengine wa aina yangu.
 
... Inakaribia Kupasuka!.
Preamble: Mimi ni supporter wa ZZK kwenye urais 2015, ila kwa jinsi hii ngoma inavyovurumishwa na kuzidi kutoa mlio mkubwa humu jf, hii ni ishara mbaya kuwa hii ngoma inakaribia kupasuka!.

ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a "dare devil!" bila kutoa sababu and once defeated anajinyamazia kimya bila kutoa sababu!. "Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!".

ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!. Ndivyo vivyo hivyo 2010 alipotishia kutogombea Kigoma!, akatishia kutafuta jimbo lolote, na sasa anatishia tena 2015 kutogombea tena ubunge bali kugombea urais kupitia Chadema!.

The proper way ilikuwa sio yeye kutangaza nia bali kuwaonyesha Chadema kwa vitendo kuwa anaweza na ni kwa kupitia vitendo hivyo vya kuonyesha uwezo, ndipo Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji ZZK kupeperusha bendera yake 2015, not the other way round!.

Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.

Pasco.
Wanabodi,

Kwa vile ZZK kaomba msamaha hapa,
Mwaka 2012 ulikuwa ni mwaka wenye changamoto nyingi, mafanikio makubwa ya kisiasa

Muhimu kuliko yote ni kwamba Kwa njia moja ama nyingine nitakuwa nimewakera, kuwaudhi au kuwakatisha tamaa. Mimi ni binaadam, sijakamilika. Naomba radhi Kwa mapungufu yangu yote.

Muwe na mwaka mwema. Tujenge nchi yetu nzuri sana. Tanzania yenye Utu, Uzalendo, Uadilifu na Uwajibikaji inawezekana!

Zitto
Hivyo nashauri hii thread naiwithdraw!.

Mimi ni mmoja wa wanaokuaminia na nilishakata shauri kusimama na wewe no matter what!. Kuna mengi ya kishujaa uliyoshayafanya, ila hili pia la kuomba msamaha nalo ni ushajaa mkubwa, sio tuu lataka moyo, bali hizi guts pia uwe nazo!, nimethibitisha unazo!.

Naamini the drive behind msamaha huu ni self realization amba sisi jf tumechangia kwa wewe kuifikia and I don't doubt your genuinity kwenye kuuomba and its "doing the right thing!", now you got to "do things right!".

Nimenote wengi wa members humu walikereka kwa kitendo cha wewe kutangaza nia, hivyo wanauchukulia msamaha huu kuwa ndio umekubali makosa yako as if kutangaza nia lilikuwa kosa!. Please don't please these people!, lazima uendelee kusimama kwenye kweli, na ni kweli tuu ndio itakuweka huru!. Kutangaza nia halikuwa kosa na hata kama Heche na Mbowe wameshatamka wazi kuwa mgombea wa Chadema kwa 2015 ni Dr, Dr mwenyewe hajatangaza!, mimi nilikaa nae mahali "off the record" hivyo msimamo wake naujua!.

Ila pia WanaChadema, nawaombeni sana muwe fair, genuine na just!, muache hizi double standards, akitajwa ZZK ni kosa na imekuwa nongwa!, lakini ametajwa Dr, then its right!. Hakuna anaelazimisha awe ZZK bali taratibu za Chadema kumptisha Dr zifuatwe!, Masikini Mzee Mtei amesupport jina la Dr akiamini limeibukia kwenye vikao halali, kumbe no!, Mwenyekiti Mbowe wala Heche wao sio vikao, ila kama wanachama, wana uhuru wa kutoa maoni yao, ila maoni yanapotolewa na Mwenyekiti!, its a wrong notion kwa sababu Mwenyekiti ndie anayetakiwa kuwa objective na very impartial, sasa kama amesha take side unategemea nini?!.

Kwa msamaha huu wa ZZK, namshauri mode uzi wangu huu Urais wa ZZK 2015: Ngoma Ikivuma Sana...!. aufunge!.

Happy & Prosperous New Year 2013!.

Pasco
 
... Inakaribia Kupasuka!.
Preamble: Mimi ni supporter wa ZZK kwenye urais 2015, ila kwa jinsi hii ngoma inavyovurumishwa na kuzidi kutoa mlio mkubwa humu jf, hii ni ishara mbaya kuwa hii ngoma inakaribia kupasuka!.

ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a "dare devil!" bila kutoa sababu and once defeated anajinyamazia kimya bila kutoa sababu!. "Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!".

ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!. Ndivyo vivyo hivyo 2010 alipotishia kutogombea Kigoma!, akatishia kutafuta jimbo lolote, na sasa anatishia tena 2015 kutogombea tena ubunge bali kugombea urais kupitia Chadema!.

The proper way ilikuwa sio yeye kutangaza nia bali kuwaonyesha Chadema kwa vitendo kuwa anaweza na ni kwa kupitia vitendo hivyo vya kuonyesha uwezo, ndipo Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji ZZK kupeperusha bendera yake 2015, not the other way round!.

Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.

Pasco.
Unajichanganya sana kaka pasco,mara hivi mara vile wala hata hueleweki kabisa nini unamaanisha hapo.siku hizi na wewe Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.
 
... Inakaribia Kupasuka!.
Preamble: Mimi ni supporter wa ZZK kwenye urais 2015, ila kwa jinsi hii ngoma inavyovurumishwa na kuzidi kutoa mlio mkubwa humu jf, hii ni ishara mbaya kuwa hii ngoma inakaribia kupasuka!.

ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a "dare devil!" bila kutoa sababu and once defeated anajinyamazia kimya bila kutoa sababu!. "Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!".

ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!. Ndivyo vivyo hivyo 2010 alipotishia kutogombea Kigoma!, akatishia kutafuta jimbo lolote, na sasa anatishia tena 2015 kutogombea tena ubunge bali kugombea urais kupitia Chadema!.

The proper way ilikuwa sio yeye kutangaza nia bali kuwaonyesha Chadema kwa vitendo kuwa anaweza na ni kwa kupitia vitendo hivyo vya kuonyesha uwezo, ndipo Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji ZZK kupeperusha bendera yake 2015, not the other way round!.

Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.

Pasco.
For the first time nakubaliana na wewe Pasco. Umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye kufanya deep analysis. Ulichokisema ndo ukweli dumu daima milele.
 
Unajichanganya sana kaka pasco,mara hivi mara vile wala hata hueleweki kabisa nini unamaanisha hapo.siku hizi na wewe Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.
Pole sana Mkuu Ndalwa kwa kutonielewa kabisa nini ninamaanisha kiasi cha kunidhania ninajichanganya sana!, ili kunielewa, unahitaji level fulani ya uelewa!, maadam umejiunga juzi juzi tuu, with time, you'll grow up na hatimaye utafikia level ya kunielewa tuu!.

Wala usijisikie vibaya, hauko peke yako, kuna wengi waliposoma tuu kuwa jf ni home to the great thinkes, nao wakajiunga na kujihesabu nao ni ma great thinkers over night!, No way!. Kuwa great thinker kwanza lazima uwe na uwezo not only to read, but also to think!.

Kama mimi sio great thinker na hoja yangu hii simple tuu umeshindwa kuielewai, zikija hoja za kina za ma great thinkers wetu humu kama kina Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Mchambuzi na wengine si ndio utatoka kapa kabisa?!. Ila usijali tuna majukwaa mengi, jaribisha MMU unaweza kujikuta huko ukafit vizuri, halafu ukikuwa kuwa kidogo ndipo ije jukwaa hili, utajikuta unaelewa na mimi utaweza kunielewa!.

Happy & Prosperous New Year 2013!.

Pasco
 
Wanabodi,

Kwa vile ZZK kaomba msamaha hapa,

Hivyo nashauri hii thread naiwithdraw!.

Mimi ni mmoja wa wanaokuaminia na nilishakata shauri kusimama na wewe no matter what!. Kuna mengi ya kishujaa uliyoshayafanya, ila hili pia la kuomba msamaha nalo ni ushajaa mkubwa, sio tuu lataka moyo, bali hizi guts pia uwe nazo!, nimethibitisha unazo!.

Naamini the drive behind msamaha huu ni self realization amba sisi jf tumechangia kwa wewe kuifikia and I don't doubt your genuinity kwenye kuuomba and its "doing the right thing!", now you got to "do things right!". ...

ZZK ni MCHU WA MADARAKA KIBULI NA TAMAA!!! Hawezi kuwa RAIS wa TZ... Na nahisi amelitambua hilo, japo sijaamini bado maana amegusia suala katiba na interest yake ni umri kwenye katiba .... poor ZZK
 
Huu mjadala nimeukuta kule Wanamabadiliko, kwa vile unahusiana na hii mada, nikaona niuongezee hapa kwenye hii thread yangu ili iweze kuendelea kushiba.

ZZK Zitto: Ipo siku, uhuru wa fikra utawang'oa madikteta!
"Bahati mbaya sana ninaandika ninachoona sahihi. Mawazo yangu ni mawazo yangu na sioni aibu kuyasema. Siwezi kutumia majina ya bandia kusema ninachoamini. Hayo ndio mawazo yangu nimeandika na yanajadiliwa. Changamoto nazichukua na kurekebisha panapohitajika. Lakini kamwe siwezi kutumia mtu mwingine kusema ninachowaza.
Kuandika ni therapy. Kuna wanaoandika na kuna wanawajadili waandikao. Acha watu waandike mawazo yao huru.

Huwa wanasema 'hakuna ujinga ulio ujinga mtupu, hata katika huo ujinga kuna jambo la kujifunza'"


From: alexander chipalazya
Mike,
Kuna mchangiaji mmoja amesema jamaa anajimaliza taratibu kisiasa. Naona yuko sahihi. ZZK angalau angekua makini angewatumia watu wengine kuwasilisha ile makala 'wampiganie indirectly' kama nia yake nikuonyesha hisia zake.

Katika maisha hakuna kitu cha hatari kama kujipigania maslahi yako binafsi, hasa kama hakuna sababu ya msingi ya kufanya hivyo.

Wote mtakumbuka jinsi watu walivyo wahi kuwapigania watu walio waona kua na michango muhimu katika mataifa mbalimbali. Mfano ni Jenerali Ulimwengu alipoinukiwa na serikali kua sio mtanzania baada ya kuona anaikosoa sana serikali. Watu kwakua wanaona mchango wake wa kimawazo na kifikra walisimama imara na kumtetea. Na yeye Jenerali akiwa kimya tuli-hapo ndio ngoma inakua tamu. Wote tunaona jamaa anadunda mpaka sasa. Pia nazani mnaona jinsi Wikleks anavyopiganiwa baada ya serikali ya UK kutaka kumtia nguvuni. Mifano iko mingi.

Hicho ndicho ninacho kiamini kua ZZK ni kijana anawakati mwingi wakuonyesha kipaji chake na uwezo wake. Yafaa atulie ajifunze kuwasikiliza wengine na kufanya kazi chini ya wengine. Nasio kujitukuza mwenyewe.




From: Mike Ikwalala

Sikutaka kabisa kusema kuhusu makala hii ya ZZK. Lakini kilichonishtua ni jinsi jamaa alivyo na ujasiri na tamaa ya kuwa rais wa nchi yetu bila kujali kama ana track record yoyote ya kiutendaji ambayo imebadilisha maisha ya watanzania japo kidogo. Zaidi ya kuwa bingwa wa kuwasilisha hoja na kuibua controversial issues bungeni (bila kuwa na matokeo yoyote ya maana kwa wananchi) ZZK hana CV ya maana ya kumfanya ajione anafaa saaaaaana kuwa rais wetu. May be not now!!

Kama sifa kubwa ya mtu tunayemtaka kuitoa nchi hii hapa ilipo kwenda hatua nyingine ni kuwa mbishi, controversial, uwezo wa kuwasilisha miswaada bungeni, na ujana basi tuna watu wengi sana wanaofaa kugombea urais mwaka 2015. ZZK hajafanya chocho cha maana hapa nchini zaidi ya kutimiza wajibu wake tu kama mbunge. Alipiga kelele kuhusu Buzwagi, kumetokea nini cha maana? Juzi ametishia nyau kuhusu pesa za Uswiss, je zimerudi au mtu amekamatwa? Au kuna nini cha maana alichofanya jimboni kwake cha kutufanya tutamani akifanye nchi nzima kwa kumpa urais? Kuna uzalendo gani aliouonesha (baada ya kushindwa kutaja orodha ya walioficha pesa nje) kiasi cha kutufanya tumwone anafaa kupewa nafasi ya juu zaidi?. Najua akigombea (kupitia chama chochote isipokuwa CCM na Chadema maana hawatampa) atapata wafuasi wengi huko kwao Kigoma na pengine wafuasi kiasi katika mikoa ya Pwani, Tanga, Mtwara, na Lindi. Siamini kama watu zaidi ya maeneo hayo wataipumbazwa na mkakati huu wa muda mrefu wa kuhakikisha kura za Chadema zinagawanywa 2015. Or may be I'm just reading too much into it!!

Imebidi nichangie baada ya kuona ZZK anavyojilinganisha na miamba ya historia (isiyokuwa size yake kabisa) toka India na Malyasia wa lengo la kuvuta hisia za watu na kutaka kujikuza kupita uhalisia.

Boniface Magessa
Nachoona hapa ni kwamba ZZK ameshaona siku zake ndani ya Chadema zinahesabika kwa hiyo anaandika hivi ili siku zake zikikwisha atasema NILISEMA!
Asifananishe Malaysia na Tanzania.hizi ni nchi mbili zenye tamaduni tofauti.asijidanganye kuwa akifukuzwa atasimama achaguliwe rais.katu!
Bahati nzuri anafahamika ndani na nje ya chadema kwa undumilakuwili ambao hata siku moja hajawshi kuukanusha!
alexander chipalazya
Gerge,
Nakubaliana na mawazo yako, wahenga walishatuambia 'Kizuri cha jiuza na kibaya cha jitembeza' kwa maneno mengine kama unafikiri unafaa sio suala lako kutangaza, instead, 'it will speak itself'.
Mwalimu mzuri darasani hapaswi kujigamba kua najua kufundisha. Wanafunzi wenyewe wanajua jinsi ya kuwa grade walimu wao.
Ushauri wangu kwa Zitto anapaswa kufanya kazi chini ya viongozi wake alafu ataonekana wazi KAMA MSHUMAA UWAKAO. Halafu anaplatform nzuri tu maana ni kiongozi mkubwa kwenye chama, bungeni nk. Hiyo inatosha kabisa kuonyesha uwezo wake, na sio kuibuka na kuandika makala za 'KUJIHAMI' eti wanataka kukufukuza maana una maono tofauti na viongozi wako; ni rahisi kumpinga Rais kuliko mwenyekiti wa chama nk.
Kinacho ogofya juu ya ZZK ni hii appetite ya hali ya juu anayo onyesha kua anataka kuwa kiongozi mkubwa katika nchi hii.
Hapana shaka kwamujibu wa makala yake wachambuzi watasema ameona dalili ya kufukuzwa iko nje, kwahiyo ameamua kutoa kau-utabiri mapema ili apate sababu ya kujitetea huko mbeleni.
Alexander
________________________________
george ramadhani
Zitto asisubiri kufukuzwa Chadema, aanzishe chama chake kama alivyofanya Indra Gandhi halafu tuone ataungwa mkono kiasi gani.
Katika makala yake amewazungumzia wanasiasa hao wawili wa Malaysia na India, pengine kwa kutaka kujifananisha nao kutokana na misukosuko anayoipata ndani na nje ya chama chake, lakini sidhani kama anafanana nao kimtazamo na hata kimaamuzi.
Si busara kutaka kulazimisha mambo, Kama Zitto ana ndoto ya kuwa rais wa nchi, asilazimishe, asubiri wakati ukifika atakuwa tu.
Jakaya alitaka sana na alikuwa na uhakika wa kuwa rais katika uchaguzi wa mwaka 1995, lakini haikuwa hivyo. Yeye mwenyewe (Kikwete) kuna wakati alinukuliwa akisema kuwa aliwahi kuambiwa na mzee mmoja kwamba "kama wakati haujafika, hata ufanye vipi jambo haliwezi kuwa, lakini wakati ukifika hata kama hutaki litakuwa tu"
Zitto asitake kuwalazimisha watu wamchukulie vile anavyotaka yeye, aendelee kufanya siasa bila kulazimisha mambo, wakati ukifika na watu tukamwamini atakuwa kiongozi mkubwa hata kama yeye atakuwa hataki.
Mjadala huu watu wanajadili kuhusu mada ya Zitto " Ipo siku, uhuru wa fikra utawang'oa madikteta!".
Pasco.​



 
... Inakaribia Kupasuka!.
Preamble: Mimi ni supporter wa ZZK kwenye urais 2015, ila kwa jinsi hii ngoma inavyovurumishwa na kuzidi kutoa mlio mkubwa humu jf, hii ni ishara mbaya kuwa hii ngoma inakaribia kupasuka!.

ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a "dare devil!" bila kutoa sababu and once defeated anajinyamazia kimya bila kutoa sababu!. "Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!".

ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!. Ndivyo vivyo hivyo 2010 alipotishia kutogombea Kigoma!, akatishia kutafuta jimbo lolote, na sasa anatishia tena 2015 kutogombea tena ubunge bali kugombea urais kupitia Chadema!.

The proper way ilikuwa sio yeye kutangaza nia bali kuwaonyesha Chadema kwa vitendo kuwa anaweza na ni kwa kupitia vitendo hivyo vya kuonyesha uwezo, ndipo Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji ZZK kupeperusha bendera yake 2015, not the other way round!.

Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.

Pasco.
Nafanya tuu rejea!, kwa kinachoendelea sasa kumhusu ZZK!, kwa msio jua, vile vingine vyote ni visingizio tuu, hii ndio sababu yenyewe halisi!. Likitokea la kutokea, sisi ambao tunamkubali sana, tutaendelea kusimama nae, akilizwa tutalia nae, ili pia tutakumbusha kuwa tulisema!.
Pasco
 
Mimi namshauri mdogowangu zitto zuberi kabwe aende ccm sio kugombe ubunge bali urais wa tanganyika au tanzania 2015. Kwa ukuadi aliokuwa anawafanyia ccm nafikiri amefanikiwa sana kuleta myumbo ndani ya cdm hasa miongoni mwa wanachama wanaongozwa na matukio na sio mfumo na falsafa
 
Mimi namshauri mdogowangu zitto zuberi kabwe aende ccm sio kugombe ubunge bali urais wa tanganyika au tanzania 2015. Kwa ukuadi aliokuwa anawafanyia ccm nafikiri amefanikiwa sana kuleta myumbo ndani ya cdm hasa miongoni mwa wanachama wanaongozwa na matukio na sio mfumo na falsafa

Bila kusahau wote wa CCM waliowekasahihi kunwondoa Waziri mkuu walipigwa chini kwenye chaguzi za CCM. Unganisha doti kujua zaidi.
 
uwezo wa mtu kushika madaraka kwa mtu yeyote hutegemea mambo ikiwemo wafuasi,utendaji wako uliotukuka,ustahimivu,hekima na busara yako on critical issues,weledi na uwajibikaji.kwa zito kuna maeneo amepwaya na mbaya zaidi anakosa hekima na busara ya kiuongozi,popote penye uhuru bila mika huleta fujo,sasa ili tukupime kama unatufaa ni namna gani unaishi na wenzio.unawathamini kwa kiasi gani coz hao ndiyo upo nao kwa muda mwingi kuliko wananchi.umesema vema pasco!
Zitto angepata wasaa wa kusoma comment kama hizi angejengeka sana . Tatizo anakundi ambalo akipost jambo wanamshabikia ile mbaya, yaani ni kama anaanzisha jambo halafu anajiunga mkono mwenyewe kupitia kundi lake hata kama jambo lenyewe ni baya.
 
Last edited by a moderator:
Mimi niliyemjulia Zitto kwenye sakata la Buzwagi tu na kuanza kumshabikia sana kuanzia wakati huo hadi kufikia kumtetea hata wakati alipokuwa akiandamwa kuhusu uhusiano wake na marehemu Amina Chifupa wakati huo aliyekuwa mke wa mtu, nimekuwa dissapointed sana kugundua kuwa mtu huyu ni populist na opportunist tu. Nimeanza kukubaliana na wote waliokuwa wakisema jamaa hana lolote la maana, kila jambo analoongea liko calculated kumnufaisha binafsi!

Badala ya kushughulikia mamabo ya nchi, na wakati wa uchaguzi ukifika ndipo ashughulike na mambo ya uchaguzi, yeye amekuwa bize kushughulika na kampein za mwaka 2015. Hii taipu ya akina Kikwete, Nixon na Romney wanaopiga kampeini kwa muda mrefu sana huwa ni watu hatari sana wanapoingia madarakani.

Sijui kama kuna watu wengine wa aina yangu.
HUKU Geita tulikiamini hadi tukatamani aje agombee ubunge tukizani ni mpambanaji kumbe s h a ngingi la kisiasa.
 
... Inakaribia Kupasuka!.
Preamble: Mimi ni supporter wa ZZK kwenye urais 2015, ila kwa jinsi hii ngoma inavyovurumishwa na kuzidi kutoa mlio mkubwa humu jf, hii ni ishara mbaya kuwa hii ngoma inakaribia kupasuka!.

ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a "dare devil!" bila kutoa sababu and once defeated anajinyamazia kimya bila kutoa sababu!. "Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!".

ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!. Ndivyo vivyo hivyo 2010 alipotishia kutogombea Kigoma!, akatishia kutafuta jimbo lolote, na sasa anatishia tena 2015 kutogombea tena ubunge bali kugombea urais kupitia Chadema!.

The proper way ilikuwa sio yeye kutangaza nia bali kuwaonyesha Chadema kwa vitendo kuwa anaweza na ni kwa kupitia vitendo hivyo vya kuonyesha uwezo, ndipo Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji ZZK kupeperusha bendera yake 2015, not the other way round!.

Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.

Pasco.
Uliona mbali sana! Bahati mbaya nyepesi hana tabia ya kuzingatia uzi huu, anyway tayari ameshatumika na katupwa kule kama .............. iliyokwishatumika!
 
Huu mjadala nimeukuta kule Wanamabadiliko, kwa vile unahusiana na hii mada, nikaona niuongezee hapa kwenye hii thread yangu ili iweze kuendelea kushiba.

ZZK Zitto: Ipo siku, uhuru wa fikra utawang'oa madikteta!
"Bahati mbaya sana ninaandika ninachoona sahihi. Mawazo yangu ni mawazo yangu na sioni aibu kuyasema. Siwezi kutumia majina ya bandia kusema ninachoamini. Hayo ndio mawazo yangu nimeandika na yanajadiliwa. Changamoto nazichukua na kurekebisha panapohitajika. Lakini kamwe siwezi kutumia mtu mwingine kusema ninachowaza.
Kuandika ni therapy. Kuna wanaoandika na kuna wanawajadili waandikao. Acha watu waandike mawazo yao huru.

Huwa wanasema 'hakuna ujinga ulio ujinga mtupu, hata katika huo ujinga kuna jambo la kujifunza'"


From: alexander chipalazya
Mike,
Kuna mchangiaji mmoja amesema jamaa anajimaliza taratibu kisiasa. Naona yuko sahihi. ZZK angalau angekua makini angewatumia watu wengine kuwasilisha ile makala 'wampiganie indirectly' kama nia yake nikuonyesha hisia zake.

Katika maisha hakuna kitu cha hatari kama kujipigania maslahi yako binafsi, hasa kama hakuna sababu ya msingi ya kufanya hivyo.

Wote mtakumbuka jinsi watu walivyo wahi kuwapigania watu walio waona kua na michango muhimu katika mataifa mbalimbali. Mfano ni Jenerali Ulimwengu alipoinukiwa na serikali kua sio mtanzania baada ya kuona anaikosoa sana serikali. Watu kwakua wanaona mchango wake wa kimawazo na kifikra walisimama imara na kumtetea. Na yeye Jenerali akiwa kimya tuli-hapo ndio ngoma inakua tamu. Wote tunaona jamaa anadunda mpaka sasa. Pia nazani mnaona jinsi Wikleks anavyopiganiwa baada ya serikali ya UK kutaka kumtia nguvuni. Mifano iko mingi.

Hicho ndicho ninacho kiamini kua ZZK ni kijana anawakati mwingi wakuonyesha kipaji chake na uwezo wake. Yafaa atulie ajifunze kuwasikiliza wengine na kufanya kazi chini ya wengine. Nasio kujitukuza mwenyewe.




From: Mike Ikwalala

Sikutaka kabisa kusema kuhusu makala hii ya ZZK. Lakini kilichonishtua ni jinsi jamaa alivyo na ujasiri na tamaa ya kuwa rais wa nchi yetu bila kujali kama ana track record yoyote ya kiutendaji ambayo imebadilisha maisha ya watanzania japo kidogo. Zaidi ya kuwa bingwa wa kuwasilisha hoja na kuibua controversial issues bungeni (bila kuwa na matokeo yoyote ya maana kwa wananchi) ZZK hana CV ya maana ya kumfanya ajione anafaa saaaaaana kuwa rais wetu. May be not now!!

Kama sifa kubwa ya mtu tunayemtaka kuitoa nchi hii hapa ilipo kwenda hatua nyingine ni kuwa mbishi, controversial, uwezo wa kuwasilisha miswaada bungeni, na ujana basi tuna watu wengi sana wanaofaa kugombea urais mwaka 2015. ZZK hajafanya chocho cha maana hapa nchini zaidi ya kutimiza wajibu wake tu kama mbunge. Alipiga kelele kuhusu Buzwagi, kumetokea nini cha maana? Juzi ametishia nyau kuhusu pesa za Uswiss, je zimerudi au mtu amekamatwa? Au kuna nini cha maana alichofanya jimboni kwake cha kutufanya tutamani akifanye nchi nzima kwa kumpa urais? Kuna uzalendo gani aliouonesha (baada ya kushindwa kutaja orodha ya walioficha pesa nje) kiasi cha kutufanya tumwone anafaa kupewa nafasi ya juu zaidi?. Najua akigombea (kupitia chama chochote isipokuwa CCM na Chadema maana hawatampa) atapata wafuasi wengi huko kwao Kigoma na pengine wafuasi kiasi katika mikoa ya Pwani, Tanga, Mtwara, na Lindi. Siamini kama watu zaidi ya maeneo hayo wataipumbazwa na mkakati huu wa muda mrefu wa kuhakikisha kura za Chadema zinagawanywa 2015. Or may be I'm just reading too much into it!!

Imebidi nichangie baada ya kuona ZZK anavyojilinganisha na miamba ya historia (isiyokuwa size yake kabisa) toka India na Malyasia wa lengo la kuvuta hisia za watu na kutaka kujikuza kupita uhalisia.

Boniface Magessa
Nachoona hapa ni kwamba ZZK ameshaona siku zake ndani ya Chadema zinahesabika kwa hiyo anaandika hivi ili siku zake zikikwisha atasema NILISEMA!
Asifananishe Malaysia na Tanzania.hizi ni nchi mbili zenye tamaduni tofauti.asijidanganye kuwa akifukuzwa atasimama achaguliwe rais.katu!
Bahati nzuri anafahamika ndani na nje ya chadema kwa undumilakuwili ambao hata siku moja hajawshi kuukanusha!
alexander chipalazya
Gerge,
Nakubaliana na mawazo yako, wahenga walishatuambia 'Kizuri cha jiuza na kibaya cha jitembeza' kwa maneno mengine kama unafikiri unafaa sio suala lako kutangaza, instead, 'it will speak itself'.
Mwalimu mzuri darasani hapaswi kujigamba kua najua kufundisha. Wanafunzi wenyewe wanajua jinsi ya kuwa grade walimu wao.
Ushauri wangu kwa Zitto anapaswa kufanya kazi chini ya viongozi wake alafu ataonekana wazi KAMA MSHUMAA UWAKAO. Halafu anaplatform nzuri tu maana ni kiongozi mkubwa kwenye chama, bungeni nk. Hiyo inatosha kabisa kuonyesha uwezo wake, na sio kuibuka na kuandika makala za 'KUJIHAMI' eti wanataka kukufukuza maana una maono tofauti na viongozi wako; ni rahisi kumpinga Rais kuliko mwenyekiti wa chama nk.
Kinacho ogofya juu ya ZZK ni hii appetite ya hali ya juu anayo onyesha kua anataka kuwa kiongozi mkubwa katika nchi hii.
Hapana shaka kwamujibu wa makala yake wachambuzi watasema ameona dalili ya kufukuzwa iko nje, kwahiyo ameamua kutoa kau-utabiri mapema ili apate sababu ya kujitetea huko mbeleni.
Alexander
________________________________
george ramadhani
Zitto asisubiri kufukuzwa Chadema, aanzishe chama chake kama alivyofanya Indra Gandhi halafu tuone ataungwa mkono kiasi gani.
Katika makala yake amewazungumzia wanasiasa hao wawili wa Malaysia na India, pengine kwa kutaka kujifananisha nao kutokana na misukosuko anayoipata ndani na nje ya chama chake, lakini sidhani kama anafanana nao kimtazamo na hata kimaamuzi.
Si busara kutaka kulazimisha mambo, Kama Zitto ana ndoto ya kuwa rais wa nchi, asilazimishe, asubiri wakati ukifika atakuwa tu.
Jakaya alitaka sana na alikuwa na uhakika wa kuwa rais katika uchaguzi wa mwaka 1995, lakini haikuwa hivyo. Yeye mwenyewe (Kikwete) kuna wakati alinukuliwa akisema kuwa aliwahi kuambiwa na mzee mmoja kwamba "kama wakati haujafika, hata ufanye vipi jambo haliwezi kuwa, lakini wakati ukifika hata kama hutaki litakuwa tu"
Zitto asitake kuwalazimisha watu wamchukulie vile anavyotaka yeye, aendelee kufanya siasa bila kulazimisha mambo, wakati ukifika na watu tukamwamini atakuwa kiongozi mkubwa hata kama yeye atakuwa hataki.
Mjadala huu watu wanajadili kuhusu mada ya Zitto " Ipo siku, uhuru wa fikra utawang'oa madikteta!".
Pasco.​



Hapa nipo na ww,sidhani kama Zitto anapata muda wa kupitia busara hizi...
 
Last edited by a moderator:
Nafanya tuu rejea!, kwa kinachoendelea sasa kumhusu ZZK!, kwa msio jua, vile vingine vyote ni visingizio tuu, hii ndio sababu yenyewe halisi!. Likitokea la kutokea, sisi ambao tunamkubali sana, tutaendelea kusimama nae, akilizwa tutalia nae, ili pia tutakumbusha kuwa tulisema!.
Pasco
Akilizwa mtalia nae! Akibakwa........................safi sana
 
pasco huyu zzk is just a person. naona unamtegemea kama mungu vile. mi naona cdm now ndo imerud on the right track kuna wakat ckuona tofaut ya ccm na cdm now naiona
 
Back
Top Bottom