Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesema si haki hata kidogo Rais wa muungano atoke upande wa bara tu kila awamu.
Maalim Seif amesema kamwe haikubaliki kwani ni nchi mbili huru ziliungana. Ameongeza huu ni upendeleo wa waziwazi ambao katiba mpya itabidi iufanyie kazi kwa maslahi ya nchi hizi mbili.
SOURCE: HABARI ITV
Maalim Seif amesema kamwe haikubaliki kwani ni nchi mbili huru ziliungana. Ameongeza huu ni upendeleo wa waziwazi ambao katiba mpya itabidi iufanyie kazi kwa maslahi ya nchi hizi mbili.
SOURCE: HABARI ITV