Labda Nchi ya kusadikika, Tanzania haiwezi kuongozwa na mwehu yeyote kutoka CHADEMA.
Hilo jina tu hata hii thread haikuhusu.
Labda Nchi ya kusadikika, Tanzania haiwezi kuongozwa na mwehu yeyote kutoka CHADEMA.
Usiwe mvivu wakufikiri,kwa vile zzk sio wa kaskazini
Mmtume wapi? Hii nchi ina wenyewe..
tundu lisu ana hasira, chuki, na ni mtu wa sharishari, hiyo nafasi haiwezi labda abadilike au kile kichaa chake kiishe
Mmtume wapi? Hii nchi ina wenyewe..
tundu lisu ana hasira, chuki, na ni mtu wa sharishari, hiyo nafasi haiwezi labda abadilike au kile kichaa chake kiishe
Lisu ni zaidi ya Battalion ya makomandoo walioko ya pale Sanga Sanga... amethibitisha hilo na anaendelea kututhibitishia kuwa uwezo wake ni next level... akina kigwangala wajipange sana SIYO kuchukua notice wakati Lisu anaongea kama Mwakyembe...
Hilo jina tu hata hii thread haikuhusu.
Labda Nchi ya kusadikika, Tanzania haiwezi kuongozwa na mwehu yeyote kutoka CHADEMA.
Hapo sasa! yeye katumia muda wake wote kupambana na Kesi za CHADEMA za kuandamana bila kibali!Kwani huko jimboni amefanya maendeleo gani.
Kwani huko jimboni amefanya maendeleo gani.
Kwahiyo na wewe unaamini Lissu Anaweza kuwa Rais?
Sijawahi kuwa mpenzi wa mijadala ya watu.Never!
-However,Sitapita hivi hivi
-Hakuna ubishi kuwa Tundu Lissu ni Aina ya wanasiasa nadra tuliowahi kuwa nao nchini
-Nakua inspired sana na umaahiri wake katika sheria,siasa na harakati.Ni miongoni mwa wanasiasa wasomi wanaotumia taaluma zao vizuri na kufanya siasa kulingana na Taaluma zao.Misimamo yake mikali na ujasiri,inanivutia zaidi kuliko kitu kingine.My Comrade....! ! ! Na hata yeye anajua hivyo!
-Hakuna shaka kuwa Msomi Tundu Lissu ana uwezo wa kuongoza Taasisi yoyote nchini.Huu ni mtazamo wangu binafsi,Nisihukumiwe/nisiadhibiwe.
-Linapokuja suala la Urais au uongozi wa juu wa nchi au chama,tunarejea kwenye katiba ya chama chetu.Kuna principles,kuna kanuni na taratibu za kufuata kutimiza matakwa ya kidemokrasia
-Mahitaji ya wakati husika hayawezi kupuuzwa
Ben Saanane -Nimeandika .
12/02/2014
Acha uoga dogo.....
Kama mvuta bangi ndio role model wako let it be known.
Subiri rungu LA SLAA.
............... Dhambi ya ubaguzi haitawaacha. Na itawatafuna milele
Labda Nchi ya kusadikika, Tanzania haiwezi kuongozwa na mwehu yeyote kutoka CHADEMA.