Urais 2015: Tundu Lissu atafaa zaidi CHADEMA

Chama aanzishe Mtei na mkaza mwana Mbowe, urais uende Singida! mnacheza nyie!
 
Lissu hafai kabisa, ni bora chadema mumpe hiyo nafasi Sugu kama mmekosa mtu kabisa.

Lissu ubunge tu umemshinda, ni mmoja kati ya wabunge waliolizalilisha na kushusha hadhi ya bunge la Tanzania. Anapenda kupoteza muda kwenye trivial issues na kuacha mambo ya msingi na yenye maslahi mapana ya kitaifa pembeni.
 
Dr.Slaa awe Rais, Mbowe awe waziri mkuu, Lissu waziri wa sheria, Zitto waziri wa fedha, Mnyika waziri wa ulinzi, Wenje waziri wa mambo ya ndani, Sugu waziri wa utamaduni, Msigwa waziri wa maliasili na utalii, Kiwia waziri wa nishati na madini, Mdee waziri wa jinsia na watoto ongezea wengine.
 
Wana JF napendekeza Mh Tundu Lisu ateuliwe kugombea kiti cha urais katika uchaguzi wa mwaka 2015,ninaimani upinzani utachukua nchi nini maoni yako ewe Great thinker?
Nawakilisha

Labda awe Rais wa familia yako. Sawa mwachie Madaraka.
 
lissu is a great.person but..
u cnt just judge someone cuz he urgues too much...
yes!!! he is a lawyer..he defends it but not gud enough for.bin a president...
we nid sm1 who is abit multalented..
who fits in all fields"!!!!
bin a minister wll do.
₩presdent...
 
Mkuu MAPUMA MIYOGA, Taasisi ya presidency nionavyo mimi ni complex sana. Unahitaji mtu mwenye multiple gifts katika hulka yake kwa maana ya proficiency ambayo ni multidisciplinary. a good orator, pasipo genius katika maeneo mengine unapata rais mbaya. Tundu lisu is a good orator, he is a good legal person. Tunahitaji muda kujua quality zake nyingine kabla ya kumu-endorse for president.

Nafasi ya waziri wa sheria anapita bila kupinga. Kwa hiyo tuombe Mungu idadi ya wabunge ivuke nusu ya wabunge wanaotakiwa bungeni, na DR. Slaa au mtu mwingine katika Chadema apate ushindi kwenye nafasi ya rais. Tundu Lisu should fit squarely kwenye nafasi ya Waziri fulani bila kupingwa--hasa hasa nafasi ya Sheria. But President? tunahitaji muda zaidi kumsoma....
Kabla hamjamuendorse JK quality zake zilikuwa zipi?mimi nafikiri mtu yoyote anayeijua sheria up to the details anafaa kuwa rais wa nchi ktk kuhakikisha katiba ya nchi inalindwa na mikataba ya rasilimali mbalimbali inayoleta tija kwa taifa inaingiwa.Tatizo marais wengi wanapitisha maazimio mengi ya kisheria ambayo yanatugharimu just because hawana knowlegde ya kutosha kisheria!
 
''ni bora dr Slaa kuingia ikulu kuliko Tundu Lissu kuwepo bungeni'' Tafakari kiundani kauli hii toka kwa JK.Maana yake kama lissu atakua raisi ni wazi wezi wa mali za umma wataenda kuishi uhamishoni na wengine watapotea kwa staili ya balali.
 
Mkuu MAPUMA MIYOGA, Taasisi ya presidency nionavyo mimi ni complex sana. Unahitaji mtu mwenye multiple gifts katika hulka yake kwa maana ya proficiency ambayo ni multidisciplinary. a good orator, pasipo genius katika maeneo mengine unapata rais mbaya. Tundu lisu is a good orator, he is a good legal person. Tunahitaji muda kujua quality zake nyingine kabla ya kumu-endorse for president.

Nafasi ya waziri wa sheria anapita bila kupinga. Kwa hiyo tuombe Mungu idadi ya wabunge ivuke nusu ya wabunge wanaotakiwa bungeni, na DR. Slaa au mtu mwingine katika Chadema apate ushindi kwenye nafasi ya rais. Tundu Lisu should fit squarely kwenye nafasi ya Waziri fulani bila kupingwa--hasa hasa nafasi ya Sheria. But President? tunahitaji muda zaidi kumsoma....

Nakubali maoni yako na naamini unaongelea 'kwa sasa - 2013'. Tuendelee kumsoma kama hivi tunavyopeana habari zake, ikifika 2015 atakua tayari keshasomeka! Kwa upande wangu, wabunge wote wa CDM (wa kuchaguliwa) ukiondoa Shibuda ambae bado anaamini posho ya wabunge ni ndogo, wanaweza kuzisimamia vyema sera za CDM.
 
Wana JF napendekeza Mh Tundu Lisu ateuliwe kugombea kiti cha urais katika uchaguzi wa mwaka 2015,ninaimani upinzani utachukua nchi nini maoni yako ewe Great thinker?
Nawakilisha
Walioko madarakani wajiandae kwa kesi za kudhulumu haki za wananchi mf haki za kuishi, haki za kukusanyika bila bughudha na uhujumu wa uchumi.Pia tutashuhudia magonjwa kama strokes,pressure za kupanda,magonjwa ya moyo,kisukari nk kwa walioko madarakani.RIP zitakuwa nyingi,ukizingati wameshajitengea maeneo ya maziko na fedha za mazishi baada ya kuona wapinzani (CHADEMA) wanaweza kuingia ikulu halafu wao wakakosa hata wa kuwazika.
 
Wapendwa nawasalim.
Bila shaka ndani ya Chadema kuna Hazina nyingi ya Viongozi wenye Weledi uliotukuka.

Tundu antipas lissu ni gwiji la kisheria vilevile ni mwanasiasa anaeonekana nyota yake kung,aa zaidi hata kudhaniwa kuwa mkuu wa Nchi.


Chadema kwa wakati huu tunapitia mapito mengi hasa baada ya wadaliti kugundulika hata hivyo taasisi yetu bado iko.

2015 chadema kamati kuu tusifanye makosa tumtume Tundu lissu.
Wengine wote tumuunge mkono
 
Back
Top Bottom