Far Better than MzinziHe is better than Zitto by far, heaven and earth!
mbona jk hakuwekewa pingamizi? Wakati alikuwa ana ugowanjwa wa kuanguka ovyo?Atawekewa pingamizi la ugonjwa bado hajapona.
Tundu Lissu ni kiongozi lakini sio uraisi, kwa sababu ni mchunguzi wa vitu mpaka vile vidogo vidogo vya kumezea tu
JK alisema"bora Dr slaa kuwa rais kuliko TUNDULISU kuwa mbunge"
ko unataka JK akimbie nchi mapema,
kweli wewe humpendi.
If wishes were horses...
Hivi unadhani Dr Slaa na Bw Mbowe hawatakuwekea pingamizi katika swala lako hili ? Weee nani hiii.... Sijui Matope ?
Ni Vema ila Chama ndio kiamue. Binafsi namkubali sana huyu Jamaa. Ni mtetezi wa haki za wanyonge na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Mkuu MAPUMA MIYOGA, Taasisi ya presidency nionavyo mimi ni complex sana. Unahitaji mtu mwenye multiple gifts katika hulka yake kwa maana ya proficiency ambayo ni multidisciplinary. a good orator, pasipo genius katika maeneo mengine unapata rais mbaya. Tundu lisu is a good orator, he is a good legal person. Tunahitaji muda kujua quality zake nyingine kabla ya kumu-endorse for president.
Nafasi ya waziri wa sheria anapita bila kupinga. Kwa hiyo tuombe Mungu idadi ya wabunge ivuke nusu ya wabunge wanaotakiwa bungeni, na DR. Slaa au mtu mwingine katika Chadema apate ushindi kwenye nafasi ya rais. Tundu Lisu should fit squarely kwenye nafasi ya Waziri fulani bila kupingwa--hasa hasa nafasi ya Sheria. But President? tunahitaji muda zaidi kumsoma....
Mkuu MAPUMA MIYOGA, Taasisi ya presidency nionavyo mimi ni complex sana. Unahitaji mtu mwenye multiple gifts katika hulka yake kwa maana ya proficiency ambayo ni multidisciplinary. a good orator, pasipo genius katika maeneo mengine unapata rais mbaya. Tundu lisu is a good orator, he is a good legal person. Tunahitaji muda kujua quality zake nyingine kabla ya kumu-endorse for president.
Nafasi ya waziri wa sheria anapita bila kupinga. Kwa hiyo tuombe Mungu idadi ya wabunge ivuke nusu ya wabunge wanaotakiwa bungeni, na DR. Slaa au mtu mwingine katika Chadema apate ushindi kwenye nafasi ya rais. Tundu Lisu should fit squarely kwenye nafasi ya Waziri fulani bila kupingwa--hasa hasa nafasi ya Sheria. But President? tunahitaji muda zaidi kumsoma....
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]Tundu Lissu ni kiongozi lakini sio uraisi, kwa sababu ni mchunguzi wa vitu mpaka vile vidogo vidogo vya kumezea tu
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]
Ndugu nahavache nikweli kabisa anafaa kuwa na mtu wa kumcontrol vinginevyo inaweza leta mtafaruku kwenye nchi maana atapeleka watu mahakamani sana kitu ambacho kinaweza leta shida kwataifa, alafu nisalimie wale jamaa pale milimani waambie wanachelewesha mabadiliko, habari za "iki tuneketadhe" zimepitwa na wakati waamuke.
Hahaha hahaha hahahaaaaa !
Weeee vashinghee duu ambuu henacho tharii vengojea kidheee....
Miraaa ilo udhuvaaa la mwaka 2015 Same - Mashariki & Magharibi nnetakoma mndhuuu venikietia igambaaa weee shighaaa duu...