CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 687
Here here watching
Lizzy is smoking me so much
Here here watching
mimi mpaka vibao nachapwa na demu sipendi kumuudhi hata kama sina kosa
Nilipoona tu your statement nikajua tuko mtaa mmoja, na kua huta regret mipango ile ninayomilizia.... Mwanumwe mpole, mpole mpaka majirani wanaanza kua na wasi wasi kua labda wewe ndo ulimlazimisha kukaa nae... Ya nini ???
Usishangae, hapa ndo kazi ya diary ile..... take notes...
You haven't finished my job yet, don't ask me which job because you know it lol
Imenibidi kucheka lol!!!!mwanaume mpole sana anatakiwa awe na mwanamke mpole pia maana ikiwa tofauti watu wataona siku zote anaonewa na ananyamaza sio kwamba hataki kukujibisha au hajui umekosea, yeye anaona taabu tu kujibizana anaona bora akae kimya ila watu wa aina hii akiibuka siku moja! utakimbia nyumba
Mkuu hata barua kabla ya kumfikia mhusika huwa zinapita Posta kwanza hebu follow procedures basi kwanza lolAsha D, naruhusiwa kukupenda??
Atiiiii????NO COMMENT!!!
Mkuu hata barua kabla ya kumfikia mhusika huwa zinapita Posta kwanza hebu follow procedures basi kwanza lol
Khaaaaa!!
Na mwenyewe umeridhika tu???Man up bwana!!!
Sindo hapo sasa...kila mtu anaanza kusema mara sijui umemkalia kichwani sijui mambo gani gani!!!
Ehhh embu fanya haraka huo mpango mpendwa.....baridi inazidi kuongezeka!!Lolzzzz
Ooh!! Yes kuna kitu navuna hapaAnd learning i hope...........
Binadamu majungu kweli wallahi, kuna jamaa alisema DA ni houzigeli, kumbe mdada ana mshahara kuliko wa Lyatonga mrema? khaaaa!
halaf kuna mod anakupigia misele nini? unajua kila nikiquote post yako basi network connectiona inapotea ghafla katika mazingira ya kutatanisha. Nitaanzishia sredi hili suala, Kama mod ni domo zito sio atumie power yake kukata mawasiliano yetu. message sent! (nikipigwa ban naomba unianzishie sredi), kuhusu kutokuonekana , niko bize nahamasisha watu kumtambua Mungu. Alleluyah!Hahahaah...si umeona?... umetokea tu na kucheka nimecheka...sijui unaendaga wapi jamani???!!! usiwe unapotea hivyo bana...!
Nafikiri leo siku inaisha vizuri kabisa, baada ya kumwona Mr. Kloro...
Back to the topic: Mimi napenda mpole, ila sio kama anayefanana na descrption ya Lizzy ya upole, ni kama zezeta hivi...mhhh hapana bana!
Asha D, naruhusiwa kukupenda??
unajua ngoja niwambie nyinyi wadada,
we ukiona mwanaume mpole usijidanganye kuwa umepata sana,
sometimes hawa wapole wana namna yao ya kujiliwaza,
wewe unamsema sema home, unamnyayapaa na maneno yako yasokuwa na adabu,
Anakuenjoy tu, taratibu anaenda kuliwazwa na wale wanaojua kuwa mume hakaripiwi!!!!!!!!
kwa niaba ya ofisi za Ebay nasema ankal hapa habari ni poa tu. Vipi huko uswahilini?Ankal habari ya kwako banaa
Kamanda hivi haujafanikiwa kumkomboa Hashycool tuhalaf kuna mod anakupigia misele nini? unajua kila nikiquote post yako basi network connectiona inapotea ghafla katika mazingira ya kutatanisha. Nitaanzishia sredi hili suala, Kama mod ni domo zito sio atumie power yake kukata mawasiliano yetu. message sent! (nikipigwa ban naomba unianzishie sredi), kuhusu kutokuonekana , niko bize nahamasisha watu kumtambua Mungu. Alleluyah!
Bek to ze topik: ignore description ya Lizzy, huyo anaemuongelea lizzy nazani atakuwa bwabwa, wewe chukua hilo neno "mpole" kwa unavyolielewa tu, Lizzy ana F square ya kiswahili tumchukulieni tu wajameni.
Mkuu hata barua kabla ya kumfikia mhusika huwa zinapita Posta kwanza hebu follow procedures basi kwanza lol