Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,263
- Thread starter
- #21
Mambo ya kupigana hamna bwana....namaanisha ambae ataweza kusimamia kitu nielewe hata kama nilikua najaribu kua mbishi!!Sio ambae nikimwambie leo silali nyumbani anakubali tu kirahisi kwasababu hataki kunikasirisha!!!Unapenda wakali lizzy, tena wa kukupigapiga kwa marungu hata kwa vijikosa vidogo jamani? Au nimekosea bibie?