CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Mbona mapema au ndo ukorofi ushaanza???? Ha ha ha ha
Leo nimeamini waifu si mpole, japo anatamani awe hivyo
Mbona mapema au ndo ukorofi ushaanza???? Ha ha ha ha
Sina cha kuchangia nakusalimia tu Lizzy wa ngara mtoni!Kwa faida ya kina kaka embu wadada tujuzane mnapenda wapenzi/wenzi wenu waweje linapokuja swala la upole.Hapa siongelei ule upole wa muda kwamba ikitokea ugomvi mara moja moja anaweza kujishusha ...naongelea ule upole ambao ndio tabia yake.Yani kila kitu ye anakua mdogo tu....hata kama kosa sio lake anakua mdogo...hata kama anaonewa anakua mdogo!!
Binafsi mi naogopa kua na mtu wa aina hii kwenye mahusiano kwasababu najijua ni mkorofi kidogo kwahiyo naona kama ntamuonea sana.Iwe kwa makusudi au la najua mwisho wa siku ntaishia kujisikia vibaya na ntakua nimeshamuonea tayari!!Napenda mtu ambae nikikosea atanipa live na sio kwakunibembeleza maana wakati mwingine mtu akikwambia kitu kwa utaratibu ni rahisi kupotezea ila ukiona kakasirika kweli usikilizaji na uelewaji unaongezeka!!
Michango tafadhali......
Sijui yuko mitaa gani leo
Mi nina gf wangu mnyarwanda...yani ni mpole kushinda hata hayo maelezo ya mtoa mada!!siku za mwanzo za mahusiano nikimwangalia nilikuwa najisihi kulia-lia tu,coz ni decent,kapole hadi kanatia huruma...ingawa sasa hivi etlist ninampa maujanja. bt i real like her
There are currently 25 users browsing this thread. (18 members and 7 guests)
Mnaikimbiza mno hii thread hao niliowakoleza wino
Wewe na Dena hebu acheni uchokozi bana lol
Wewe na Dena hebu acheni uchokozi bana lol
Basi nimetubu mamii, usiende kwa kolokuwini
Kosa gani mimi nililokukosea wanitupa
Mrembo mwenye hadhi, pokea tena waraka
Usome na kuhifadhi, Yote nilioyoyandika
Nilipi lililokuudhi, Hebu niambie haraka
Fanya haraka muhibu, unipe hili hakika
Uneleze taratibu, Nipate kutoa shaka
Ni ipi hiyo sababu, Ilokupa kunepuka
Muhibu Lizzy nasema nawe, Hebu mwepushe shetani
Nyonda sinizuzuwe, Kanitia fedhehani
Toka kuniepuka wewe, Nimengia matesoni
Usione ni mzaha, mwenzio ni maradhini
Umenitia jeraha, La huba ndani kwa ndani
Naishi sina furaha, Kwa yondi lako Fulani
Kukurai si aibu, maadamu nakutaka
Na lau kama muhibu, Liko kosa limetuka
Basi mwana nimetubu, Msamaha nautaka
Kaditama tafadhali, wata kunihangiasha
Mwenzio kucha silali, Kwa huba huwa nakesha
Kumbuka na jambo hili, Kwako mahaba sijesha
Usijali yupo karibu kuna issue anamalizia.... Good thing kaaga, pangekua padogo!!! Upole wote ungeishaa...LOL
Kwa faida ya kina kaka embu wadada tujuzane mnapenda wapenzi/wenzi wenu waweje linapokuja swala la upole.Hapa siongelei ule upole wa muda kwamba ikitokea ugomvi mara moja moja anaweza kujishusha ...naongelea ule upole ambao ndio tabia yake.Yani kila kitu ye anakua mdogo tu....hata kama kosa sio lake anakua mdogo...hata kama anaonewa anakua mdogo!!
Binafsi mi naogopa kua na mtu wa aina hii kwenye mahusiano kwasababu najijua ni mkorofi kidogo kwahiyo naona kama ntamuonea sana.Iwe kwa makusudi au la najua mwisho wa siku ntaishia kujisikia vibaya na ntakua nimeshamuonea tayari!!Napenda mtu ambae nikikosea atanipa live na sio kwakunibembeleza maana wakati mwingine mtu akikwambia kitu kwa utaratibu ni rahisi kupotezea ila ukiona kakasirika kweli usikilizaji na uelewaji unaongezeka!!
Michango tafadhali......
Leo nimeamini waifu si mpole, japo anatamani awe hivyo
dah! huu wimbo wa koffi olomide umeamua uutafsiri kwa kiswahili halaf utongozee? khaaa! hapa imekula kwa lizzy.
sijui nikikutumia msg saa hizi wataona . . . .
:caked::caked:Bwana kani mi mchokozi?
Are you from Mara Region?
Huu wimbo uliimbwa na CPU sambamba na Asha D
ukiendelea kubisha nitalembea album zima la koffi hewani, bora ukuwe mpole tu kama sredi inavyosema. halaf mbona Keren Happuch simuoni tena aisee! nimeanza kupoteza nguvu za kutype hafla!Huu wimbo uliimbwa na CPU sambamba na Asha D
Hongera mkaka ila usi take advantage ya upole wake huko mbeleni endelea kumpenda hivohivo.... na mwanamke mpole mwanaume mkali ni afadhali kuliko the opposite
sijui nikikutumia msg saa hizi wataona . . . .
Lizzy nilikwambia mambo haya mapemaaa naona hukunielewa unaona sasa.............................