Ccm ni laana kubwa!Kwa kweli, tutafika tukiwa taaban Sana!View attachment 2350370
Ccm laana tupu!
By MzilankendeMwafwa
Incompetency na Wizi ni shida kuu katika nchi hii, watu Incompetency wameshindwa kuset proper system kuondoa urasimu na ujinga kwenye mifumo, Wezi nao hutengeneza njia za upigaji kila siku kupitia mifumo dhaifu na pumbavu. Tafrani kila siku.
Style ya serikali kutoa kazi kwa contractors na kuchelewesha malipo wakati mwingine husababisha haya mambo.
unapewa tenda ya 6mil unalipwa mwakani December, au unaweza kudhulumiwa kabisa.
Serikali ihakikishe tendering zinafanyika kwa uwazi bila konakona, serikali iwe inalipa cash au advance au cash baada tu ya kazi kukamilika na kukaguliwa Ok ikatoka.
Wapigaji ndani ya serikali wanaosababisha urasimu ndio husababisha hizi overpricing ili watu walipee rushwa na mkandarasi apate chake, mkandarasi hana namna anaweka hela zaidi ili wahusika wampe kazi na pia wamrahisishie alipwe kwa wakati.
Hapo nunua kila kitu tuwekee mchanganuo wa 11mKuna wakati ni vigumu sana kufananisha ujenzi kwa kutumia force account kuoka eneo moja na lingine.
Kuna baadhi ya maeneo wananchi wanajitolea nguvu kazi na kukusanya mchanga pamoja na mawe.Maeneo mengine kila kitu unanunua kuanzia mchanga.
Hapo maji na mchanga na misumari ;fundi kajitoleaBati miloni 7,
Rangi milioni 2
Tofali zake ni special sh milioni 1
Fundi milioni 1