Nimepewa taarifa kuwa vijana wa DUPSA wametoa tamko kali kwa uongozi wa chuo na kulaani jinsi walivyosingiziwa kuwa hawakufuata sheria wameonyesha jinsi mkandala alivyo muongo.
Nalitafuta nikilipata nitaliweka hapa hilo tamko lao.
Good, M/kieleweke
Hapo ndo patakuwa patamu tutakapo pata majibu ya upande wa pili kwamba kweli hawakufata utaratibu? ama ndo kama nilivo sema hapo nyuma kwamba Majibu ya Mkandala ni sawa na majibu ya Karamagi kwa issue ya Zitto!!!