Huyo mkuu wa chuo atakuwa mjinga kweli kama ataona njia ya kuzuia hoja ya Zitto ni kumzuia asiongee. Hoja hujibiwa kwa hoja, waandae hoja badala ya kutumia manguvu.
Ningelikuwa mimi ningempa Zitto uwanja wowote anaoutaka. Wanaofuatilia haya mapambano ya fikra wanajua wazi Zitto akiachiwa atambe anavyotaka, itafika mahali baadhi ya chenga zake hazitakuwa na maana tena, lakini ukizuia wananchi wasimsikie ndivyo watakavyokuwa na hamu ya kumsikia.
Ningelikuwa mimi ningempa Zitto uwanja wowote anaoutaka. Wanaofuatilia haya mapambano ya fikra wanajua wazi Zitto akiachiwa atambe anavyotaka, itafika mahali baadhi ya chenga zake hazitakuwa na maana tena, lakini ukizuia wananchi wasimsikie ndivyo watakavyokuwa na hamu ya kumsikia.