Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
huyu ni mboni yule mwenye kipindi cha 'mboni talk show'?
mkuu Lowassa si rais mtarajiwa bali mgombea urais mtarajiwa kwani atawagaragaza wote kwenye kura za maoni za magamba lakini mbele ya Dr wa ukweli ataanguka vibaya sana,rais mtarajiwa ni DR W.SLAA.Hawa wote ni wafuasi sugu wa Lowassa. Ushindi wao umetokana na nguvu na ushawishi wa Lowassa. Hongera Lowassa, rais mtarajiwa wa Tanzania 2015.
MWENYEKITI UVCCM TAIFA NI Mhe. JUMA SADIFA - 2012-2017
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA NI Mhe.MBONI MHITA
HONGERENI SANA!!! UVCCM HOYEEEE
WAJUMBE NEC
Jerry Silaa
Deo Ndegembi
Anthony Mavunde
Jonas Nkya
OPEC iko Uarabuni na inamilikiwa na Waislamu.Yaani kwa exposure yako utajiri ni mafuta peke yake.Kazi ipo.By the way the Bush's nao wanafanya biashara ya mafuta.Je nao ni Waislamu????
Acha kuipotosha akili yako, hao wote ni dini moja nayo ni ufisadi. Ukristo na Uislamu unaujuwa wewe. uliza hirizi nyekundu zilivyookotwa ukumbini utadhani kama condom zinavyookotwaga unapolala mwenge.Hongera yao..........................bila shaka udini haujatumika, japo mwenyekiti na makamu ni waislamu, na wajumbe wote ni wakristo, tunachotaka ni viongozi wenye dhamira njema na tanzania kwa manufaa ya watanzania.
nakubaliana na wewe kabisa,muda mwingi Malisa alizurura kufanya kampeni za majungu,hawa kama wameusoma mchezoSwali je wanaweza kuleta impact gani kwa vijana wa uvccm na vijana wote wa tz?kwani binafsi sikuona la maana alilofanya malisa na wenzie lililonigusa mie kama kijana wa kawaida wa kitanzania.
Acha kuipotosha akili yako, hao wote ni dini moja nayo ni ufisadi. Ukristo na Uislamu unaujuwa wewe. uliza hirizi nyekundu zilivyookotwa ukumbini utadhani kama condom zinavyookotwaga unapolala mwenge.
yaani
huyo ndiyo mboni mhita mzalendo kweli kweli mpigania haki za vijana kama malemo tutegemee makubwa kutoka kwake rip chadomos ccm oyeeeeeeeeeeee
Kiongozi, uliniahidi kuleta uchambuzi baada ya kumalizika kwa chaguzi hizi. Nipo mkao wa kula. Kila la kheriWaacheni wajipange; haya ni mambo yanayoendelea CCM na CCM inajipanga kuelekea 2015. Swali kubwa nii je mabadiliko yote ya uongozi yanayofanywa ndani ya CCM sasa hivi yatakisaidia vipi chama kuendelea kutawala 2015?
...Viongozi NANE, Wanaume SITA Wanawake WAWILI...! Ni Nani Yule Alipataga Kusimama Kwenye Majukwaa ya Kisiasa na kudai Kuwa "..Akina Mama Watapewa Kipaumbele Kwenye Nafasi za Uongozi..."??
hana jezi za ccm dizaini kavaa gwanda huyu ataingusha uvccm kuisapoti cdm kimtindo
huyo ndiyo mboni mhita mzalendo kweli kweli mpigania haki za vijana kama malemo tutegemee makubwa kutoka kwake rip chadomos ccm oyeeeeeeeeeeee