Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,426
- 92,795
Kama safari za Marekani zingekuwa zinafundisha wa kwanza kuelimika angekuwa JK lakini wapi, Alikwina.HAWA VIJANA WAKAE MTAZAMO WA KUJENGA UCHUMI NA SIO KUIMALISHA CHAMA. Inabidi wafanye study tour nchini marekani, Israel na Uingereza waone vijana wenzao wanatoa mchango gani katika kufuta ukosefu wa ajira ktk nchi zao na wao wataibanaje serikali ku create more jobs kuliko kugharimia vikao vya NEC.
waje USA, halafu watembelee financial district pale low mnhatan,. Hapo watafika mpaka new York stock exchange. Pale new york stock exchange pana maktaba ambamo kuna watu wa kila rika, wanajua uchumi karibia wa dunia nzima na ushauri wao husisimua sana.. ni vizuri wajifunza Ulaya magharibi na USA walifanikiwaje mafanikio makubwa ya kiuchumi kuliko kwenda China na Urussi kujifunza propaganda za kulaghai umma. Maneno kama magamba, Kubobea na mengine ni propaganda za kuchezea akiri za watu tuu uawtawalao. Hivyo nyie vijana badilikeani.
Hao unaotaka waje kufanya study tour USA sana sana watakuja kupiga picha kwenye maeneo yanayovutia na kufanya shopping tu hakuna la ziada. kitendo cha wao kuwa UVCCM tayari ni ishara kwamba wapo kwenye Training ya Ufisadi.