Unyonyeshaji bora wa maziwa ya mama na maziwa mbadala iwapo ni lazima

hakuna ubaya kumnyonyesha mtoto wako popote isipokuwa wadada na wamama wa sikuhizi wanasahau kitu kimoja muhim sana. Nacho si kingine ni upande wa KHANGA au KANGA. Hii husaidia kujisitiri wakat ananyonyesha. Wanawake sikuhiz sijui uzungu mwng unasafir na mtoto kwenye mkoba unajaza vipodozi unasahau hata kanga moja
 
Salam wakuu,
Habari za jioni na weekend in general?. Nipo ndani ya dala² hapa nimekaa pembeni na Dada mmoja. Huyu dada ana mtoto mdogo wa kiume (infant) ambaye alianza kulia na ndipo dada huyu akatoa ziwa lake na kuanza kumnyonyesha mtoto wake. Nikajiuliza je, ni kwa upendo ambao mama zetu au dada zetu wakiafrika wanao kwa watoto wao ndio hupelekea kutosita knyonyesha watoto wao popote pale wanapokua? Kwa maana nishawahi pia kushuhudia kanisani, na sehemu nyingine tofauti. Je, na nchi nyingine pia wanautaratibu kama huu au ni kwetu tu hapa TZ? Nawasilisha wakuu, and I meant no offense to my sisters and mothers out there..
Nimeona kama mara 3 mama wakizungu akitoa nyonyo malls na akanyonyesha mmoja kwenye bus..si kama wanapenda ila mtoto ndio anataka chakula lazima akipate....ila africa nchi nyingi wananyonyesha tu hadharani
 
Kunyonyesha hadharani (Breastfeeding in Public), kuna tatizo?

Dunia za kwanza ndio wana "mind" ile mbaya hasa wanawake wenzao, mashoga na wanaume/wanawake wanaojifanya wako busy na maisha na hawana time na kuzaa au kutunza watoto, ni baraka, nature na kulitakiwa kusiwe na debate ya aina yoyote kabisa kuhusu swala hili....
 
Wee SteveD, my wife wako akiwa ananyonyesha kwenye basi na ndio mzao wake wa kwanza unajisikiaje? Think of it... Uh? Pains eh? Wambie ukweli kama inauma... Kama kweli haikuumi basi ni vema akaanza ku-practice kwa sasa :)
Tumia kiswahili hii ndio lugha tunayoifahamu wote.
 
Kumekuwa na hoja tofauti toka kwa watu mbalimbali juu ya unyonyeshaji. Binafsi sielewi wapi niangukie... Nikaona nawashirikishe ili kupata maoni yenu. Je, kunyonyesha hadharani [Breastfeeding in Public] ni kosa?

Wanaume mnasemaje? Kina dada/mama vipi mwasemaje?

10458749_850400384988226_8059185995543437873_n.jpg

breastfeeding05.jpg


Jamita-Stith-HEADSHOT-and-photo.jpg


266170_breastfeeding.jpg
Mdada nzuri sana, me nichangie kwa kusema hakuna ubaya wowote kunyonyesha hadhari coz mtoto anapata chakula chake kama isivyokuwa na ubaya mtu kukamata hotdog, hamburger nk na kula hadharani. Ila tu utashi binafsi ndo huchangia na nadhani hii inatokana na mila na desturi za eneo husika. Kwangu japo sio shida mtoto kunyonyeshwa hadharani but binafsi sipendi ndo maana humwambia mke wangu, inapobidi kunyonyesha hadharani basi awe anafunika na kipande cha kanga,kikoi,mtandio nk. Na hili wadada wengi hulifanya, nimekua nikiina hivyo kwa marehemu mama mzazi, dada na wadogo zake lakini pia nimeiona kwa dadazangu. So narudia kusema si dhambi wala hakuna ubaya mtoto kunyonyeshwa hadharani ila makuzi na malezi tuliyopitia ndo hutupa utashi wa kufanya ama kutokufanya.
 
Kama kuna kitu sipendi nikunyonyesha nikiwa safarini, na wanangu wana chagiza unampa chupa mtoto haitaki analia mpaka kero,akiwa mdogo afadhali unaweza kuchukua nguo ukajifunika,lakini ile sauti anavyonyonja na ametoka kulia na kiu yani anavuta mpaka sauti unaisikia,na mtoto akiwa kama mwaka na nusu hivi ndio hataki kufunika unamfunika anafunua,au umekaa na watu mara mtoto kama anaanza kukuparania kushika maziwa tena kwakilio hua sipendiiiiiiiiiiiiiiiiiii...
 
Kuna mama mmoja alikua anayonyesha in public na mtoto hataki, pembeni kulikua kuna mwanaume amwsimama. Basi yule mama akamwambia yule mtoto kama hutaki nitampa nyonyo uncle pale..
 
hakuna ubaya kumnyonyesha mtoto wako popote isipokuwa wadada na wamama wa sikuhizi wanasahau kitu kimoja muhim sana. Nacho si kingine ni upande wa KHANGA au KANGA. Hii husaidia kujisitiri wakat ananyonyesha. Wanawake sikuhiz sijui uzungu mwng unasafir na mtoto kwenye mkoba unajaza vipodozi unasahau hata kanga moja
Umenena vyema mkuu
 
kwani,mkuu huwa unapata msisimuko wowote ukiona mwanamke katoa ziwa kumnyonyesha mwanake? kwangu binafs huwa naona kawaida ni kitu cha kawaida kunyonyesha nahis ni mazoea/mindset maana hlohlo ziwa linaweza kunitoa udenda nikiliona katka mazingira mengine ukiacha kunyonyesha.kunyonyesha in public ni kawaida naweza kusema ni utamaduni wetu Watanzania.(japo sijui utamaduni na dini vinaingiliana vipi).
Hakuna msisimko wowote naopata mkuu, nlimaanisha tu kwamba sometimes haijakaa vizuri kutoa ziwa hadharani na kunyonyesha mbele za watu, at least basi mtu ajisitiri kwa kipande cha nguo kama wakuu wengine walivyochangia hapo
 
MI sijawahi knyonyesha hadharani huyo dogo siku was kuzurura nae popote Zaid ya clinic ya karibu na home bhaas
 
MI sijawahi knyonyesha hadharani huyo dogo siku was kuzurura nae popote Zaid ya clinic ya karibu na home bhaas
Na ukiweza hakikisha mtoto anashiba kabla hujatoka home hatakusumbua njiani. Au tembea na chakula chake ie maziwa, uji au chakula chochote kama ameanza kula vyakula vingine. Proud to be mother!
 
Hakuna tatizo mtoto ana haki ya kunyonyeshwa popote pale ambapo mama yake anahisi/anajua mwanae ana njaa.
 
Mimi sioni sababu ya kujificha wala nini....miaka na miaka wakina mama wamekuwa wakijiachia na huo ndio utamaduni wetu...haya mtoto analia njaa akiwa kwenye foleni ya ubungo unataka mama asimpe ziwa mwanae mpaka wafike kwao Mbezi mwisho?!

Na sio kila mzazi ana-afford maziwa ya kopo majamaa
 
Back
Top Bottom