bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,668
Mimi naona kama ni makosa chakula ya mtoto kuigeuza kiungo cha siri..!
Nadhani hii yote inaletelezewa na mijibaba miroho inayopenda kutumia nyonyo kama sehemu ya utamu muda wa kunjunjuana mwisho sasa naona imebinafisisha menu ya watoto (nyonyo) na kuigeza bidhaa adimu km madawa ya kulevys eti madogo watumie mafichoni uonevu na siyo mpango wa Mungu....heshimu haki za watoto.
Nadhani hii yote inaletelezewa na mijibaba miroho inayopenda kutumia nyonyo kama sehemu ya utamu muda wa kunjunjuana mwisho sasa naona imebinafisisha menu ya watoto (nyonyo) na kuigeza bidhaa adimu km madawa ya kulevys eti madogo watumie mafichoni uonevu na siyo mpango wa Mungu....heshimu haki za watoto.