Unyonyeshaji bora wa maziwa ya mama na maziwa mbadala iwapo ni lazima

Si kweli. Bora sehemu nyingine sio kwenye daladala mtoto akilia usipompa ziwa unawezachapwa kibao na mtu usiyemjua na matusi juu, tena wanakugombeza hasa. Nimenusurika kupigwa mara mbili.

Kama ni tabia yako kufungua titi lako na kuliacha wazi uache!
kunyonyesha si tatizo, ila kuacha wazi yananingia tu... uwe unafunika na hata khanga shogaa
 
Si kweli. Bora sehemu nyingine sio kwenye daladala mtoto akilia usipompa ziwa unawezachapwa kibao na mtu usiyemjua na matusi juu, tena wanakugombeza hasa. Nimenusurika kupigwa mara mbili.
Oooh basi mkuu kumbe ni utaratibu wa kawaida tu
 
Wataalamu wa afya duniani kote wanahamasisha wakina mama kunyonyesha watoto wao hata kama itakuwa ni mbele za watu ili kumpa mtoto haki yake ya kunyonya na Ku discourage matumizi ya bottle feeding
Sawa mkuu, lakini pia kimaadili ipo sawa kweli?
 
Salam wakuu,
Habari za jioni na weekend in general?. Nipo ndani ya dala² hapa nimekaa pembeni na Dada mmoja. Huyu dada ana mtoto mdogo wa kiume (infant) ambaye alianza kulia na ndipo dada huyu akatoa ziwa lake na kuanza kumnyonyesha mtoto wake. Nikajiuliza je, ni kwa upendo ambao mama zetu au dada zetu wakiafrika wanao kwa watoto wao ndio hupelekea kutosita knyonyesha watoto wao popote pale wanapokua? Kwa maana nishawahi pia kushuhudia kanisani, na sehemu nyingine tofauti. Je, na nchi nyingine pia wanautaratibu kama huu au ni kwetu tu hapa TZ? Nawasilisha wakuu, and I meant no offense to my sisters and mothers out there..
Na wewe mama yako kwa upendo wako alikufanyia hivyo. Lipi la ajabu hapo?
 
Ili swali ungemuuliza mama yako angekupa jibu najua kuwa alifanya hivyo wakati akikulea
 
Mimi sioni tatizo kwa mama kufanya hivyo ,halafu Mungu alivyo wa ajabu mtoto akiwa ananyonyeshwa pembeni yako wala hata hisia za ajabu hazikupati mwanaume ,ila ungeona ziwa tu kidogo kwa asiyenyonyesha Abdalah kichwa wazi lazima asumbue anajifanya anaona sana wakati yupo huko ndani
 
Siku moja nipo bank, akaja mama mmoja hivi, mara mtoto akaanza kulia mbona mtoto alipewa titi na akanyamaza kimya.
 
Sioni ajabu kunyonyesha mbele ya watu kama mtoto analia na nimejalibu kumtuliza hatulii jamani acheni uzungu inamaana kama mtoto nimetoka nae hospital na nimepanda daladala nisimnyonyeshe mpaka nifike nyumbani?
 
Salam wakuu,
Habari za jioni na weekend in general?. Nipo ndani ya dala² hapa nimekaa pembeni na Dada mmoja. Huyu dada ana mtoto mdogo wa kiume (infant) ambaye alianza kulia na ndipo dada huyu akatoa ziwa lake na kuanza kumnyonyesha mtoto wake. Nikajiuliza je, ni kwa upendo ambao mama zetu au dada zetu wakiafrika wanao kwa watoto wao ndio hupelekea kutosita knyonyesha watoto wao popote pale wanapokua? Kwa maana nishawahi pia kushuhudia kanisani, na sehemu nyingine tofauti. Je, na nchi nyingine pia wanautaratibu kama huu au ni kwetu tu hapa TZ? Nawasilisha wakuu, and I meant no offense to my sisters and mothers out there..
Kamuulize mamako kama alikuwa a naona aibu kuchomoa titi popote pale Ulipokuwa unalihitaji na kukunyonyesha.... Ukipata jipu uje ulete porojo zako hapa
 
Mimi sioni tatizo kwa mama kufanya hivyo ,halafu Mungu alivyo wa ajabu mtoto akiwa ananyonyeshwa pembeni yako wala hata hisia za ajabu hazikupati mwanaume ,ila ungeona ziwa tu kidogo kwa asiyenyonyesha Abdalah kichwa wazi lazima asumbue anajifanya anaona sana wakati yupo huko ndani
Hahahaaa abdalah kichwa wazi!!
 
Mimi sioni tatizo kwa mama kufanya hivyo ,halafu Mungu alivyo wa ajabu mtoto akiwa ananyonyeshwa pembeni yako wala hata hisia za ajabu hazikupati mwanaume ,ila ungeona ziwa tu kidogo kwa asiyenyonyesha Abdalah kichwa wazi lazima asumbue anajifanya anaona sana wakati yupo huko ndani
 
Ni jadi yetu waafirika weusi na ni Utu.Hii imekuwa hivo vizazi na vizazi.Abdalla wako akikusumbua katika hali hiyo wewe utakuwa mgonjwa wa Akili.Ni ukatili , na dalili za uchoyo uliopitiliza kiasi unatamani chakula cha mtoto ule wewe.huna control.
 
Salam wakuu,
Habari za jioni na weekend in general?. Nipo ndani ya dala² hapa nimekaa pembeni na Dada mmoja. Huyu dada ana mtoto mdogo wa kiume (infant) ambaye alianza kulia na ndipo dada huyu akatoa ziwa lake na kuanza kumnyonyesha mtoto wake. Nikajiuliza je, ni kwa upendo ambao mama zetu au dada zetu wakiafrika wanao kwa watoto wao ndio hupelekea kutosita knyonyesha watoto wao popote pale wanapokua? Kwa maana nishawahi pia kushuhudia kanisani, na sehemu nyingine tofauti. Je, na nchi nyingine pia wanautaratibu kama huu au ni kwetu tu hapa TZ? Nawasilisha wakuu, and I meant no offense to my sisters and mothers out there..
Kama mtoto anahtaji apewe anyonye cha muhim mama ajistiri kwa kumfunika mtoto pamija nyonyo kwa nguo,shida ni kwa hawa mama zetu wa leo kutembea na khanga kwao ni mwiko
 
Mku
Mimi sioni tatizo kwa mama kufanya hivyo ,halafu Mungu alivyo wa ajabu mtoto akiwa ananyonyeshwa pembeni yako wala hata hisia za ajabu hazikupati mwanaume ,ila ungeona ziwa tu kidogo kwa asiyenyonyesha Abdalah kichwa wazi lazima asumbue anajifanya anaona sana wakati yupo huko ndani
Mkuu umenena mama anayenyonyesha sishtuk hata mshipa,ila nione tit LA mdada aS,okuw,a na mtoto likanivutia kmama tumekaA paMoja namba ya simu itahusu
 
Back
Top Bottom