MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
"Bwana yule" anaweza kuona ni sifa kuagiza na kulipia ndege ziletwe Tanzania bila kushirikisha wadau.
Lakini kuna siku mambo haya yatamgeukia, watu hawatajali kama alikuwa anayafanya kwa nia njema au mbaya.
Yanaweza kuzuka maneno kuwa alikuwa anachukua 10% ili kuruhusu manunuzi haya.
"Bwana yule" aache kujisahau na kufikiri kuwa pesa za walipa kodi kuwa ni zake binafsi!
Bunge la bajeti ni muhimu sana kwenye "issue" kama hizi!...
Lakini kuna siku mambo haya yatamgeukia, watu hawatajali kama alikuwa anayafanya kwa nia njema au mbaya.
Yanaweza kuzuka maneno kuwa alikuwa anachukua 10% ili kuruhusu manunuzi haya.
"Bwana yule" aache kujisahau na kufikiri kuwa pesa za walipa kodi kuwa ni zake binafsi!
Bunge la bajeti ni muhimu sana kwenye "issue" kama hizi!...