Mkuu siyo kweli kuwa Tanganyoka sasa ni Tanzania. Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Ukisema Tanganyika sasa ni Tanzania maana yake umeitenga ZanzibarJana wakati tunaadhimisha miaka 55 ya uhuru wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika (sasa Tanzania), Mhe rais alisema mpaka sasa tumeishanunua ndege sita za kubebea abiria.
Naomba kujua wakati wa bunge la bajeti pesa za kununua ndege zilikuwa zimepangwa kiasi gani na kupitia wizara gani? Je, mpaka sasa ni kiasi gani kimetumika kununua ndege hizo?
Na kama bunge halikupanga kununua ndege hizo, Rais haoni kuwa anaingilia mhimili mwingine ambao kimsingi ndio wenye mamlaka ya kupanga bajeti na matumizi yote ya serikali.
Je, tunahitaji bunge?
Kushitakiwa haiwekani kwa vile Katiba inamlinda rais mstaafu. Ila kibaya ni kuwa atamkabidhi nchi rais ajaye ikiwa inevurugwa na hukumu za mahakama za ndani na nje, ikiwa imevuruga separation of power, na kwa kweli aliyosema kuwa nchi ilifika pabaya ndivyo naye atavyosemwa.Pakipatikana Katiba nzuri. Magufuli atakuja kushtakiwa huko mbeleni.
Hiyo hela katoa mfukoni mwake?na cs300..sisi tutakuwa wa kwanza kuzitumia afrika nzima....ila magu kwa usafiri wa anga ametisha....maana watu bado hawaamini kila saa porojoo mara kajipangia bajeti mara nini.....ila ingia youtube uone boeingdreamline....ni shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidaaaaaa
Hapo 10%inaenda chatoJana wakati tunaadhimisha miaka 55 ya uhuru wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika (sasa Tanzania), Mhe rais alisema mpaka sasa tumeishanunua ndege sita za kubebea abiria.
Naomba kujua wakati wa bunge la bajeti pesa za kununua ndege zilikuwa zimepangwa kiasi gani na kupitia wizara gani? Je, mpaka sasa ni kiasi gani kimetumika kununua ndege hizo?
Na kama bunge halikupanga kununua ndege hizo, Rais haoni kuwa anaingilia mhimili mwingine ambao kimsingi ndio wenye mamlaka ya kupanga bajeti na matumizi yote ya serikali.
Je, tunahitaji bunge?
aiseeee!!!Wewe! Hili ni jeshi la mtu mmoja. Hicho kibunge chenu tupa kule. Bunge ni moja ya wafanyakazi hewa msimu huu. Hututaki bajeti yao. Mtu mmoja anatosha alaah!!