Ununuzi wa ndege 6 ulipangwa bajeti ipi?

Hapa kazi tuu tokeni Na vihoja vyenu vya udhaifu hapa nyie mafisadi
Kweli nyani hauni kundule lake. Leo Chadema imekuwa fisadi?
Aise...................
Unajua kuwa ufisadi wa ssm ndiyo umeifanya nchi hii iwe maskini sana kila kukicha.
Kwahiyo nyie ni watakatifu sana?
-Meshindwa kuajiri vijana kisa uhakiki wa wafanyakazi
-Hakuna fao la kujitoa
-Vijana wa chuo kikuu wamerudi nyumbani sbb hakuna mikopo.
Duh!
Bora yangu yangu mm niliyesoma enzi ya KIKWETE. Ingekuwa enzi hizi za ccm ya wanyonge nisingepata mkopo.
Viongozi wa awamu hii wako radhi ufe huku wao wanashangilia.
 
Mkuu katisha mbaya, kununua kitu usichopenda kutumia mwenyewe si jambo rahisi
 
Huwa unatabia ya kusoma bajeti?? au unaona ni maajabu kwakuwa ulikuwa umezoea chini ya uongozi wa mafisadi vitu vingi vinapigwa juu kwa juuu halafu tunaambiwa baget haitoshi?? Hizo ndege tanzania inanunua kwa cash kama mkakati wa kufikia uchumi wa kati nduguuu. Halafu ndugu huu ni utawala uliotukuka, hakuna mafisadi papa tena, waliokuwa mafisadi walishatimukia kule kwenye kile chama kinachowaoshaa. Sisi huku tunasema HAPA KAZI TU.





Niitaka tu umkumbushe HABARI ZA TUKO KWENYE MCHAKATO hazipo tena.
 
ndege wamelipa malipo ya awali....na bunge lilipitisha bilioni 500..kwa ajiri ya atcl..so wamelipa malipo ya awali...ila ukweli ni kwamba kwa BOEING dreamline..magu katisha ikitua bongo sipati picha,,,maana hata rwanda walileta 737next gen,,,ila wakatamba je sisi wa 787...hongera magu..ipo siku utakumbukwa
Cha ajabu kuna watu inawauma jinsi nchi inavyonyooshwa.
 
ndege wamelipa malipo ya awali....na bunge lilipitisha bilioni 500..kwa ajiri ya atcl..so wamelipa malipo ya awali...ila ukweli ni kwamba kwa BOEING dreamline..magu katisha ikitua bongo sipati picha,,,maana hata rwanda walileta 737next gen,,,ila wakatamba je sisi wa 787...hongera magu..ipo siku utakumbukwa
Except kwa wapinzani uchwara
 
Jana wakati tunaadhimisha miaka 55 ya uhuru wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika (sasa Tanzania), Mhe rais alisema mpaka sasa tumeishanunua ndege sita za kubebea abiria.

Naomba kujua wakati wa bunge la bajeti pesa za kununua ndege zilikuwa zimepangwa kiasi gani na kupitia wizara gani? Je, mpaka sasa ni kiasi gani kimetumika kununua ndege hizo?

Na kama bunge halikupanga kununua ndege hizo, Rais haoni kuwa anaingilia mhimili mwingine ambao kimsingi ndio wenye mamlaka ya kupanga bajeti na matumizi yote ya serikali.

Je, tunahitaji bunge?


Hahaha!! Umekosa dili? .
 
Hilo bunge ni bange tupu.
Mara Sugu ataka kurusha Kungfu, mara Mbowe kagoma, Kubenea kaongoza watu kutoka nje........... heri bunge la mtu mmoja.

ni heri hao wavuta bange kuliko wabunge wa ccm ambao wanachukua rushwa milioni 10 kukandamiza raia na kujitoa akili....

wabunge ndiyooo... ni mzigo.
 
Yanini sasa kuwa na sheria ya manunuzi? kumbe kazi ya kununua inaweza kufanywa na mtu mmoja tu na wala asihojiwe kwa kisingizio cha nia njema.
 
Safari hii Bunge halina nguvu. Imebaki mihimili miwili yenye nguvu.
Wabunge wa CCM wameshikiwa akili na Lumumba.
 
Kwa utarabu huu ninahisi bunge limeanza kukosa kazi.. Kazi anayoifanya rais ni kubwa wala haina ubishi. Itikadi tuziweke pembeni
 
Rais akifanya jambo oooh bajeti ipi, mbowe akijiandikia posho za ruzuku chadema kimya, si mmhoji mbowe kama mnaakili hizo????
 
Mkuu hayakupangiwa bajeti na wala taratibu za manunuzi za Serikalini hazikufuatwa. Natumai Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali za Hesabu nchini atayaangalia manunuzi ya ndege hizi kwa kina na kuweka kwenye ripoti yake ya mwaka.

Jana wakati tunaadhimisha miaka 55 ya uhuru wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika (sasa Tanzania), Mhe rais alisema mpaka sasa tumeishanunua ndege sita za kubebea abiria.

Naomba kujua wakati wa bunge la bajeti pesa za kununua ndege zilikuwa zimepangwa kiasi gani na kupitia wizara gani? Je, mpaka sasa ni kiasi gani kimetumika kununua ndege hizo?

Na kama bunge halikupanga kununua ndege hizo, Rais haoni kuwa anaingilia mhimili mwingine ambao kimsingi ndio wenye mamlaka ya kupanga bajeti na matumizi yote ya serikali.

Je, tunahitaji bunge?
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom