Unlock modem mpya za Airtel ZTE MF190

hiyo hapo unatumia hiyo hiyo unlocker sema unatakiwa uchague aina ya modem yako kenye stage ya kwanza kabisaa
mkuu heshima yako kwanza. tafadhali nisaidie mie nina modem ya Airtel E153. please naomba msaada wa ku-unlock
Thanx.
 
Pamoja sanaaa
Kwangu imekubali inapiga mzigo vibaya sana,,kama vipi wakuu jaribuni alafu tupeane ripoti
mwana nakupa salute nyingi sana, me pia nimejaribu imekubali inapiga mzigo vibaya sana, nashukuru sana
HESHIMA KWAKO[/QUOTE]
 
how about E173 i have already tried in the dc unlocker but i receive some errors report and it's model isn't present there
 
Thnx! mkuu na miye pia ki2 kimekubali, inapiga mzigo kama kawa. much respect 2u.
 
Wakubwa nna swali. Baada ya kuunlock let say sasa unataka 2mia line ya voda inamaana utatakiwa utengeneze setting za internet za voda(yani kama proxy,port etc)au una2mia zilezile za airtel lakin mi nnavyo faham hzi settings hutofautianaa kwa kila mtandao. Sasa hapo inakuwaje naomba msaada wenu na kama ni hvyo naombeni mnielekeze jinsi ya kuingiza hayo maseting ya huo mtandao mwingine(i.e voda)
 
Yap yap mkuu u have a point hapa ila line wanazozitengeneza nw zina uwezo wa kujiconfigure zenyewe bila kurequest wala kufanya mannualy na ndio maana hata ukichange line kwenye simu utaona inafanya configuration yenyewe sa the same applies kwenye modem line utakayoweka itajiconfigure yenyewe na kupiga mzigo kama kawa..
Wakubwa nna swali. Baada ya kuunlock let say sasa unataka 2mia line ya voda inamaana utatakiwa utengeneze setting za internet za voda(yani kama proxy,port etc)au una2mia zilezile za airtel lakin mi nnavyo faham hzi settings hutofautianaa kwa kila mtandao. Sasa hapo inakuwaje naomba msaada wenu na kama ni hvyo naombeni mnielekeze jinsi ya kuingiza hayo maseting ya huo mtandao mwingine(i.e voda)
 
Mleta mada ku unlock zte modem ni rahisi kuliko unavyofikiri.
Kama una mautundu kweli lete yale ya ku unlock huawei e 173 hapo kichwa lazima kitakuuma!
 
How to unlock ZTE MF190


You have to use some software to unlock ZTE MF190 dongle.
Download software to unlock ZTE dongle click here
i. First of all, if you use some memory card, remove it. remove sim card and put SIM card what you want to unlock.(it will display invalid sim)
ii.Plug your modem in to your computer,sometime connection manager will display,close it.
iii. Unzip what you download and open dccrap.exe


iv. First select the manufacture as ZTE datacards ( No: 1)
v. Select the model as Auto detect (recommended) (No : 2 ) If you know the model and
which com port you use.u can do that way also
vi. Click find button (No: 3) . after your modem model will display below box
vii. After detect modem click unlock button (No: 4 )

Cheers you are done. After few seconds modem will unlock restart your computer and use
your modem.This connection manager also working for this.
But if you want to use ZTE connection manager click below link to download.

click here to download.


Kwangu imekubali inapiga mzigo vibaya sana,,kama vipi wakuu jaribuni alafu tupeane ripoti

Thanx, it works to all mobile service provider companies, i.e. Vodacom, tiGO, and Zantel. Sijajaribu kwa TTCL, Sasatel na BOL.
 
ngoja na mm nikajaribu yangu kuifukunyua maana kunajamaa alidai apigiwe ili kutoa maujanja kumpigia tuuu?? Anadai eti nimpe hera elfu 15 wakati model yenyewe nilinunua 30.
 
teh teh teh teh teeeeeeeeeee :becky::becky::becky: mkuuu thanks sana kuna jamaa hapa hapa jamvini jina naliweka kapuni alijifanya mjanja sanaaa? nilianzisha thread yakuomba hii huduma tena kwa modem hii hii .huyo jamaa aka coment chini kuwa solutio hii hapa ile ku clik tuu nakutana na namba ya sim kumpigia ooo story nyiiingi sijui niende nayo nibebe na elfu 15 tuu nayo kanitajia baada ya kumuomba anipunguzie. ushauri wangu kama ni wenzangu na mim bora muwe mnakaa tu kimya .
 
Back
Top Bottom