eliasy
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 455
- 53
Line za zantel cdma haziuzwi kama za kawaida nenda ofisini kwao uwaambie nna simu ya cdma nataka line watakuuzia elfu 10
Mkuu ukiachana na hiyo zantel na ttcl. Je kwa hii mitandao mingine hakuna uwezekano wa kupata line ya cdma? Nahitaji kutumia ktk simu ya mezani