Ungamo la kishetani!!

Huyo mume atakuwa na anasumbuliwa na ugonjwa unaojulikana kitaalamu kama... Kitombicssana ambao unasababishwa na vijidudu wajulikanao kitaalamu kama Nyegelundopacs. Ugonjwa huo unashambulia sana wanaume wenye umri na kipato cha kati na kipato cha juu. Hasa wale wenye elimu zao, nyumba zao, wake zao (tena wenye kazi/kipato) na pesa zao ndo zinawapa jeuri.
Kapuku ni nadra kuugua ugonjwa huu.

Dk. Mwendabure!

Huu ugonjwa yaonekana ni hatari zaidi ya ebola!
 
Hapana nini?

Hutaki kusikiliza hiyo confession takatifu?

hahahahahah
Babu nimesoma hapo nikakosa la kusema..
ikabidi nicheke..

Charles Lindbergh nilifuatilia history ya huyu
jamaa dahhh ...
ina utata kweli (Upande wa mahusiano/mapenzi)


lakini huyu mkuu alikufa na siri zake ....
na dhani siri nyingine ni za kwenda nazo six feet under..

mke wake wa ndoa alifariki mwaka 2001 akiwa na miaka 94
bila kujua mume wake alikuwa na watoto saba nje ya ndoa yao..
halafu aliwazalisha mtu na dada ....... pamoja na secretary wake..

kwa hiyo alikuwa na wanawake watatu ukiacha mke wake..
 
Huyo mume atakuwa na anasumbuliwa na ugonjwa unaojulikana kitaalamu kama... Kitombicssana ambao unasababishwa na vijidudu wajulikanao kitaalamu kama Nyegelundopacs. Ugonjwa huo unashambulia sana wanaume wenye umri na kipato cha kati na kipato cha juu. Hasa wale wenye elimu zao, nyumba zao, wake zao (tena wenye kazi/kipato) na pesa zao ndo zinawapa jeuri.<br />
Kapuku ni nadra kuugua ugonjwa huu. <br />
<br />
Dk. Mwendabure!
<br />
<br />
ha ha ha ha ha duh hyo ni kal!
 
hahahahahah
Babu nimesoma hapo nikakosa la kusema..
ikabidi nicheke..

Charles Lindbergh nilifuatilia history ya huyu
jamaa dahhh ...
ina utata kweli (Upande wa mahusiano/mapenzi)


lakini huyu mkuu alikufa na siri zake ....
na dhani siri nyingine ni za kwenda nazo six feet under..

mke wake wa ndoa alifariki mwaka 2001 akiwa na miaka 94
bila kujua mume wake alikuwa na watoto saba nje ya ndoa yao..
halafu aliwazalisha mtu na dada ....... pamoja na secretary wake..


kwa hiyo alikuwa na wanawake watatu ukiacha mke wake..

Huyo mwanamume bado yuko hai????

Inaonekana ni bonge la jinias. Kama aliweza kutunza hizo siri hadi mke wake akafariki bila kujua...anastahili medali ya dhahabu!!
 
Back
Top Bottom