Tman900
Senior Member
- May 30, 2017
- 174
- 343
Leo nimeamua kutafuta Mchepuko,baada ya kuona mke nilie nae Haeleweki. Tatizo kubwa linalonikera kwa mke wangu, ni mawasiliono na ndugu wa X-Wake(wakwe,mashemeji,mawifi,nk)
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.
Nimejaribu kumueleza Hilo Jambo silipendi Naona mke wangu Hilo Jambo linaendelea, Sasa nimeamua kutafuta tu Mchepuko,ingawa haikua dhamira Yangu kua na Mchepuko.
Nilikua najenga Nyumba Ila kutokana na Mazingira ya mke wangu siyaelewi nimeuza hiyo Nyumba last week.
Mke wangu ameniomba Mara kadhaa Baadhi ya Mambo nimeshindwa kumtimizia kutokana na Hilo Tatizo ambalo kila Ni kimkataza anaendelea nalo. Mambo alioniomba yapo ndani ya uwezo wangu lakini,nilimjibu Sina uwezo huo.
Nimeona Bora kutafuta Mchepuko Maisha yaendelee. Yeye aendelee kuwasiliana na wakwe,mashemeji, na mawifi wa X-wake, na Mimi ntakua nawasiliana na Mchepuko wangu.