Mimi ni mtanzania lakini kwa hili jambo niko tayari kuwaunga mkono wamalawi kwa hali na mali.
Ziwa Nyasa lote ni mali ya Malawi siku zote,
serikali yetu ilikuwa inajua siku zote na hata ulimwengu unajua siku zote, ukiondoa propaganda ambazo watanzania tumekuwa tukilishwa toka shule ya msingi kwamba ziwa Nyasa liko Tanzania wakati si kweli.
Vitisho na Nguvu za kijeshi haziwezi kutusaidia hata kidogo, hahitaji kuwa na jeshi kubwa na imara ili uweze kushinda vita siku za leo, kitu pekee ni kuwa na pesa za kuwekeza kwenye vita lakini pia kuungwa mkono na taifa kubwa lolote ambalo litafaidika na vita yenu, kitu ambacho wenzetu wa Malawi wameshafanikiwa kwa sasa.
Ninawashauri watanzania wenzangu tusiunge mkono juhudi zozote za kivita kwani hazina faida yoyote na wala hazina mchango wowote kwetu kwa sasa na hata baadaye.
Ninaishauri serikali yetu kwa sasa ijikite kutatua matatizo ya waalimu,madaktari pension za wastaafu,katiba mpya nk.
Askari waliopelekwa huko mimi siwashangai hata kidogo kwani hiyo ndio kazi yao na pili hao ni Mbwa wa watawala, wanasubiri kutumwa tu, swali kuu la kuwauliza askari wetu ni; walikuwa wapi wakati twiga na tembo wetu wakitoroshwa kwa ndege za kigeni tena za kijeshi au walikuwa wapi wakati Meli za mafuta za Iran zilipokuwa zinatumia pwani yetu huku zinapeperusha bendera ya Tanzania.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Malawi na ziwa lao.
Ziwa Nyasa lote ni mali ya Malawi siku zote,
serikali yetu ilikuwa inajua siku zote na hata ulimwengu unajua siku zote, ukiondoa propaganda ambazo watanzania tumekuwa tukilishwa toka shule ya msingi kwamba ziwa Nyasa liko Tanzania wakati si kweli.
Vitisho na Nguvu za kijeshi haziwezi kutusaidia hata kidogo, hahitaji kuwa na jeshi kubwa na imara ili uweze kushinda vita siku za leo, kitu pekee ni kuwa na pesa za kuwekeza kwenye vita lakini pia kuungwa mkono na taifa kubwa lolote ambalo litafaidika na vita yenu, kitu ambacho wenzetu wa Malawi wameshafanikiwa kwa sasa.
Ninawashauri watanzania wenzangu tusiunge mkono juhudi zozote za kivita kwani hazina faida yoyote na wala hazina mchango wowote kwetu kwa sasa na hata baadaye.
Ninaishauri serikali yetu kwa sasa ijikite kutatua matatizo ya waalimu,madaktari pension za wastaafu,katiba mpya nk.
Askari waliopelekwa huko mimi siwashangai hata kidogo kwani hiyo ndio kazi yao na pili hao ni Mbwa wa watawala, wanasubiri kutumwa tu, swali kuu la kuwauliza askari wetu ni; walikuwa wapi wakati twiga na tembo wetu wakitoroshwa kwa ndege za kigeni tena za kijeshi au walikuwa wapi wakati Meli za mafuta za Iran zilipokuwa zinatumia pwani yetu huku zinapeperusha bendera ya Tanzania.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Malawi na ziwa lao.