Siku hizi za karibuni ni kwanini hatusikii tena nchi yetu kwenye siasa za kimataifa katika kutatua migogoro na kufanya upatanishi kama hapo awali?

Pesanyingi

JF-Expert Member
Apr 15, 2023
396
646
Siku hizi za karibuni ni kwanini hatusikii tena nchi yetu kwenye siasa za kimataifa katika kutatua migogoro na kufanya upatanishi kama hapo awali kwa nchi majirani zenye migogoro ya kisiasa na vita.

Mfano mgogoro wa Rwanda na Congo mpatanishi ni Angola, wakati ni majirani zetu. Au zama zimebadilika.?
 
Siku hizi za karibuni ni kwanini hatusikii tena nchi yetu kwenye siasa za kimataifa katika kutatua migogoro na kufanya upatanishi kama hapo awali kwa nchi majirani zenye migogoro ya kisiasa na vita...
Mgogoro wa Burundi alikuwa Mkapa lakini wamekuja kugundua n wao hawakustahili kuwa wasuluhishi maana wanafanya kama yale yale tu
 
Chunguza Vizuri Viongozi tulionao..!

Kipo kichwa miongoni Mwa hawa Viongozi tulionao chenye uangalau 'eti' kipewe Usuluhishi?
 
Siku hizi za karibuni ni kwanini hatusikii tena nchi yetu kwenye siasa za kimataifa katika kutatua migogoro na kufanya upatanishi kama hapo awali kwa nchi majirani zenye migogoro ya kisiasa na vita.

Mfano mgogoro wa Rwanda na Congo mpatanishi ni Angola,wakati ni majirani zetu.Au zama zimebadilika.?
kila zama na kitabu chake 🐒

hata mihemko zamani haikuepo kama sasa 🐒
 
Siku hizi za karibuni ni kwanini hatusikii tena nchi yetu kwenye siasa za kimataifa katika kutatua migogoro na kufanya upatanishi kama hapo awali kwa nchi majirani zenye migogoro ya kisiasa na vita.

Mfano mgogoro wa Rwanda na Congo mpatanishi ni Angola,wakati ni majirani zetu.Au zama zimebadilika.?
Tupo bize tunafungua nchi bana 😂
 
Back
Top Bottom