Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
- Thread starter
- #141
yap! mwaka juzi nilifuata ganda langu ndo nikaambiwa hiyo habari, fyudo nlimkuta aisee.
mie nilifuata mwaka jana, ila sikuonana nae nilionana na engineer wa maji manispaa, kama unamkmbuka kijana mmoja "NIc Daz" aliimba wimbo wa kumbukumbu ya Mussa...