Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
Mkuu,
hapo No 10 na 11 nina mashaka napo kidogo, huyo Mama Mashaka nnaimani hajafa , huyo Mama Ropa nadhani ndy atakua RIP.
Ambae husband wake ni ex player Pamba Fc Khalid Bitebo.
Mama Mashaka kwa sasa ni mkuu Buswelu sec.
Au pawe na Mama Mashaka wawili aliyekufa na huyu aliyepo sasa.
Refer your hansard properly probably mimi ndiyo nakosea .
mama Lopa yupo ila mumewe ndo RIP tena tuko jirani na hata watoto wake kina floyd na Dio ndo ma hommies, tumekuwa pamoja mtaani