Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
Leo nimekaa na kuwambuka baadhi ya Maheadmaster wa shule zetu katika miaka ya 80s, 90s na early 00s, ni wale waliokuwa katika zile shule zetu kongwe za miaka mingi, kutokana na uchache wa shule kipindi kile ilikuwa rahisi kuwajua wengi na wa shule nyingi tuuu.na wanafun
Naomba tuwataje na baadhi ya Character unazozikumbuka
Ongeza basi na wengine na wasifu/vituko vyao ama ongezea wasifu wa baadhi ya hao hapo juu.
Naomba tuwataje na baadhi ya Character unazozikumbuka
- Mr Kwayu (Azania) huyu alipendwa sana na wanafunzi wake!
- Mama Mkamati (Jangwani)
- Mkangwa (Tosamaganga/Moro Sec) huyu mtu kwa kubadilisha suti hajambo!!
- Mr. Andrew Shayo (Umbwe/Arusha/Old Moshi) huyu alikuwa Bondia ukileta utani anaweza hata akakupa gloves mpigane!!
- Mr. Kitemangu (Ilboru)
- Mr. Makange (Arusha day)
- Mr. Vaginga J Vaginga (Ifunda) huyu alikuwa na bonge la Afro sijui alikuwa haendi Salon?
- Mr. Kisusange (Iyunga)
- Mr. Gwajimira (Kibiti) Huyu nilisikia alishatutoka!
- Mama Mashaka (Nganza) na huyu alishatutoka
- Mama Ropa (Nganza)
- Mr. Mbangwa (Nsumba/Tosamaganga)
- Mr. PB Rwamwasi (Old Moshi/Arusha sec)
- Mr. Malisa (Pugu)
Ongeza basi na wengine na wasifu/vituko vyao ama ongezea wasifu wa baadhi ya hao hapo juu.