Unawakumbuka ma-headmaster maarufu in 80s to 90s?

Andrew Kwayu Azania, alikuwa poa sana full support ila kuna siku alitupa adhabu moja sitasahau hahaha
 
Wale vijana wa enzi hizo kuna mtu alikuwa anaitwa Mr. Mfangavo wa Minja Sec school -Ugweno Mwanga

Wengine naona mmeshawataja
Kitemango wa Ilboru
Makange wa Arusha Day alihamia Umbwe sijui kama mpaka leo yupo alichukua nafasi ya Mr. Msele (Msele shule ilipokuwa haina walimu wa A-level akawaambia wanafunzu ruksa kwenda kusoma tution na ndipo wakamwamisha Umbwe.
 
Bino pale Ilboru aliifanya shule itambe katika academics kila mwaka wakati wake

Sizani kama upo sana, ni kweli shule ya Ilboru ilitamba enzi zake. Ila Kitemango ndiye aliyeipandisha chati zaidi ikawa ya kwanza Form IV na VI kitaifa. Enzi za Kitemango alikuwa anacheza 3 bora ,hii ilitokan na kupeleka sera za seminari kuwa kama mwanafunzi ni mbovu anafanya mbinu zote usifanye mtihani.
 
Sizani kama upo sana, ni kweli shule ya Ilboru ilitamba enzi zake. Ila Kitemango ndiye aliyeipandisha chati zaidi ikawa ya kwanza Form IV na VI kitaifa. Enzi za Kitemango alikuwa anacheza 3 bora ,hii ilitokan na kupeleka sera za seminari kuwa kama mwanafunzi ni mbovu anafanya mbinu zote usifanye mtihani.

Baada ya Bino kulikuwa na Mtui (1992-1994)huyu ndio aliifanya Ilboru iheshimike, ilikuwa ni namba moja au mbili kitaifa kila mwaka, nadhani baada ya huyo ndio akaja Kitemango. Hivi huyu Makange wa Arusha day ndie yeye alikuwa Ilboru kwanza akifundisha DS?
 
kipindi hicho chief losujaki alikuwepo? ama Mzee Shirima pale Ilboru?

Mmenye nawe kumbukumbu zako zipo kushoto.Lusujaki (R.I.P) wa juzi sana kaanza kazi miaka ya 1990, hata kuoa kaoa miaka ya 1996- pale pale ilboru ...Wakongwe ni kama kina Mr Kiringo.
 
Mmenye nawe kumbukumbu zako zipo kushoto.Lusujaki (R.I.P) wa juzi sana kaanza kazi miaka ya 1990, hata kuoa kaoa miaka ya 1996- pale pale ilboru ...Wakongwe ni kama kina Mr Kiringo.
Mwakalinga hapo umeongea, huyo alikuwa mwalimu wa mzuri sana, hivi yuko wapi siku hizi?
 
Baada ya Bino kulikuwa na Mtui (1992-1994)huyu ndio aliifanya Ilboru iheshimike, ilikuwa ni namba moja au mbili kitaifa kila mwaka, nadhani baada ya huyo ndio akaja Kitemango. Hivi huyu Makange wa Arusha day ndie yeye alikuwa Ilboru kwanza akifundisha DS?

Salute kwako. Natumaini nawe ni mmenye pia uzao wa El kiding'a,ol dadai,ekenywa majirani na Enaboishu haaa haaa haaa
 
Andrew Kwayu Azania, alikuwa poa sana full support ila kuna siku alitupa adhabu moja sitasahau hahaha

umenikumbusha aisee, alituita assemble halafu aliamuru milango yote ya shule ifungwe. Akaanza kutupigisha push up mpaka tukalegea kabisa. kosa letu lilikuwa ni kutoroka vipindi vya darasani na kwenda Tuition.Huo ulikuwa ni mwaka 2000.
 
15. Headmaster bukoba seco. Bagambirana huyu alikuwa noma. Alikuwa anachimba mkwara wa hatari.badae alienda karagwe seco,alikuwa anamentain discipline kwa wanafunzi na walimu. Kwa sasa ni hmaster shule ya kkkt bukoba. 16. Mrs bagambirana alikuwa h/mistress rugambwa.huyu mama alikuwa mzuri kama mmewe.kwa sasa ni h/m bweranyange girls seco. 17. Fr furtunatus bijura. Huyu alikuwa rulenge seco.miaka ya 80 shule hii ilifanya vizuri sana. Alipotoka rulenge alienda usa kusoma na ni phd holder na yuko jimbo la kayanga. 18. Bakuza wa ihungo seco. Alivyostaafu alienda kadea huko wanafunzi wakagoma na kutaka kumuua.wakti wa enz zake ihungo shule ilikuwa tishio. Kwa sasa ni marehemu

Bagambirana akiwa BSS nilikuwa pamoja na mwanae Francis, enzi za akina Henry Muhanika akiwa Head Prefect.
 
umenikumbusha aisee, alituita assemble halafu aliamuru milango yote ya shule ifungwe. Akaanza kutupigisha push up mpaka tukalegea kabisa. kosa letu lilikuwa ni kutoroka vipindi vya darasani na kwenda Tuition.Huo ulikuwa ni mwaka 2000.

Andrew Kwayu miaka ya 90's, Azania. Nakumbuka siku tulipo miss mikate na Blue Band vijana wa O'Level wakaanzisha fujo ring leader akiwa mtoto wa Prof. Sarungi.
 
Back
Top Bottom