kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,950
Mie ngoja niendelee kusearch maana nimekutana na akina dada wa kichaga kama wawili hivi wakanifanya nikose hamu ya kuoa uchagani. Hao kina dada ni wazuri sana lakin kila mmoja nilipoenda nae kwenye game walinifanya nighairi kabisa kuendeleza mahusiano. niliyoyakuta itaendelea kubaki siri yangu