Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
But you have not pointed one thing!
The chagga are very objective!
Kazi kwenu!
The chagga are very objective!
Kazi kwenu!
Na haya ndio maneno ya watu wa Moshi:
Tuwashukuru Mangi Sina, Meli, Horombo et el..........
Namshukuru Mungu Kuzaliwa chini ya kivuli cha Mlima Kilimanjaro. Wenye Wivu wajinyonge!
5. Thermos ya ugali na mboga! (hotpots)ni rahisi sana,ni vichache tu utaambiwa ulete;
1.kabati ya mbeho
2.pick up ya mala
3.radio ya picha
4.kitanda cha kamba.
hiyo ilinivutia sana hadi nina mpango wa kwenda huko kama sio marangu basi ni kibosho,machame,rombo,hai au kibololoni.razima.
Ukioa mchaga unacheza nje Cup vizuri sana
Bado hawajaoza hao...au wamekubali aliyefulia kama wewe!!Njoo Hai nimuonyeshe ulaya ndogo!!
Mona nkyoki kikutiri? Pole pole basi utamtisha sana hata hata taka kujaoa hai
Kuna watu wanafikiri wachagga ni wabaguzi au wana majivuno..lakini ukweli wachagga..ni watu wenye wivu wa maendeleo na wanaamini kuwa kutiana changamoto au uchungu ndio njia ya kuwafanya walio na maisha duni nao watoke......utaratibu huu umesaidia wengi...mfano...
Wachagga wanapokutana kwenye familia especially december ......kwenye familia unatakiwa kama una pesa basi uwe angalau umesoma....kama huna vyote basi ....wewe kazi yako itakuwa ndio mtu wa kutumwa tumwa Kuni ,kuwachomea wenzako mishkaki..etc...hasira utakazo toka nazo hapo basi lazima ukajitahidi aidha uwe msomi au ushike pesa ...kama umeshazeeka ...utahakikisha watoto wako wanakuwa wasomi....wazee wa kichagga wenye maisha duni...kazi kubwa wanayofanya ni kuwapigia watoto wao simu na kuwakumbusha wajitahidi...."..mwanangu jitahidi ili na mimi niheshimike.....",huo ndio wimbo....na mtu mwenye maisha duni akizipata la kwanza huwa kupeleka heshima kwenye familia yake ..vinginevyo pesa yake itakuwa haina maana..na hata akimpa mtu kinywaji ...watu watamngonga .."..unamnunulia nani pombe wewe huna pesa ...baba yako anaangukiwa na nyumba kwenu"".........
Maisha ya familia yanapobadilika basi hata yule baba yake aliyekuwa anatumwa kuni basi ghafla anajeuka kuwa moja ya wazee wa heshima ambayo jambo halifanyiki bila yeye kuulizwa....na hiyo ndio furaha ya wazazi na jamiii....nadhani labda tu watu hawawaelewi...
Kwa wale wanaotaka kuoa wanakaribishwa ....na maendeleo ni lazima watayapata kutokana na msukumo atakaopewa....kwani la sivyo atabebeshwa kuni mpaka achoke dharau na kujikomboa...na binti wa kichagga hawezi kubali mume wake awe kituko kwenye familia....lazima atamtia moyo wapate mafanikio ili heshima iwepo.......
Kuna watu wanafikiri wachagga ni wabaguzi au wana majivuno..lakini ukweli wachagga..ni watu wenye wivu wa maendeleo na wanaamini kuwa kutiana changamoto au uchungu ndio njia ya kuwafanya walio na maisha duni nao watoke......utaratibu huu umesaidia wengi...mfano...
Wachagga wanapokutana kwenye familia especially december ......kwenye familia unatakiwa kama una pesa basi uwe angalau umesoma....kama huna vyote basi ....wewe kazi yako itakuwa ndio mtu wa kutumwa tumwa Kuni ,kuwachomea wenzako mishkaki..etc...hasira utakazo toka nazo hapo basi lazima ukajitahidi aidha uwe msomi au ushike pesa ...kama umeshazeeka ...utahakikisha watoto wako wanakuwa wasomi....wazee wa kichagga wenye maisha duni...kazi kubwa wanayofanya ni kuwapigia watoto wao simu na kuwakumbusha wajitahidi...."..mwanangu jitahidi ili na mimi niheshimike.....",huo ndio wimbo....na mtu mwenye maisha duni akizipata la kwanza huwa kupeleka heshima kwenye familia yake ..vinginevyo pesa yake itakuwa haina maana..na hata akimpa mtu kinywaji ...watu watamngonga .."..unamnunulia nani pombe wewe huna pesa ...baba yako anaangukiwa na nyumba kwenu"".........
Maisha ya familia yanapobadilika basi hata yule baba yake aliyekuwa anatumwa kuni basi ghafla anajeuka kuwa moja ya wazee wa heshima ambayo jambo halifanyiki bila yeye kuulizwa....na hiyo ndio furaha ya wazazi na jamiii....nadhani labda tu watu hawawaelewi...
Kwa wale wanaotaka kuoa wanakaribishwa ....na maendeleo ni lazima watayapata kutokana na msukumo atakaopewa....kwani la sivyo atabebeshwa kuni mpaka achoke dharau na kujikomboa...na binti wa kichagga hawezi kubali mume wake awe kituko kwenye familia....lazima atamtia moyo wapate mafanikio ili heshima iwepo.......
Sikutaki Uchaggani ndo maana....kama bado unafikiria kabati ya mbeho ndo tunayotaka hufai kabisa.
Hivyo vyote tunavyo....siku hizi ni mwendo wa maRange , Mercedes and the likes...then upandishe bonge la ghorofa pale kijijini na bonge la theater ndani.Hiyo redio ya picha si chini ya nchi 60 usije ukatuletea zile za kubadilisha chennel kwa dial!
Duh,Lizzy huu upebari sasa.....
Habari ndo hiyo....hatuchezi na maisha bali tunayachezea maisha!!
Aika ndaoHabari ndo hiyo....hatuchezi na maisha bali tunayachezea maisha!!
ni rahisi sana,ni vichache tu utaambiwa ulete;
1.kabati ya mbeho
2.pick up ya mala
3.radio ya picha
4.kitanda cha kamba.
hiyo ilinivutia sana hadi nina mpango wa kwenda huko kama sio marangu basi ni kibosho,machame,rombo,hai au kibololoni.razima.
Bila kusahau mtori, kideri. loshoro na machalari.
Sikutaki Uchaggani ndo maana....kama bado unafikiria kabati ya mbeho ndo tunayotaka hufai kabisa.
Hivyo vyote tunavyo....siku hizi ni mwendo wa maRange , Mercedes and the likes...then upandishe bonge la ghorofa pale kijijini na bonge la theater ndani.Hiyo redio ya picha si chini ya nchi 60 usije ukatuletea zile za kubadilisha chennel kwa dial!