figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
ni rahisi sana,ni vichache tu utaambiwa ulete;
1.kabati ya mbeho
2.pick up ya mala
3.radio ya picha
4.kitanda cha kamba.
hiyo ilinivutia sana hadi nina mpango wa kwenda huko kama sio marangu basi ni kibosho,machame,rombo,hai au kibololoni.lazima.
1.kabati ya mbeho
2.pick up ya mala
3.radio ya picha
4.kitanda cha kamba.
hiyo ilinivutia sana hadi nina mpango wa kwenda huko kama sio marangu basi ni kibosho,machame,rombo,hai au kibololoni.lazima.