The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,114
- 115,931
Umewahi kukutana na mtu mkabadilishana namba za simu
ukajuuta?
asubuhi anapiga,mchana anapiga,jioni anapiga usiku anapiga...
usipokea anakuuliza why hukupokea as if ni lazima upokee
sms tele,ku beep ndo usiseme.......
imewahi kukutokea hiyo?
na akipiga hakuna la maana mnaloongea.......
anaweza kywa ni rafiki wa zamani,au mtu tu umekutana nae kiofisi au ki social hivi...
but full kero na simu.....
ukajuuta?
asubuhi anapiga,mchana anapiga,jioni anapiga usiku anapiga...
usipokea anakuuliza why hukupokea as if ni lazima upokee
sms tele,ku beep ndo usiseme.......
imewahi kukutokea hiyo?
na akipiga hakuna la maana mnaloongea.......
anaweza kywa ni rafiki wa zamani,au mtu tu umekutana nae kiofisi au ki social hivi...
but full kero na simu.....