Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kingine kinaniudhi
ni kumpigia mtu afu anasema
'mbona hujanipigia siku nyingi
umenitupa sana'
afu samtims hata mwanamme anasema hivyo
huwa sirudii kupiga asilani
Mbona hiyo haiumi kihivyo Kongosho?
it does not make sense to me
kama ukim-miss mtu
mtafute na wewe
sio usubiri akupigie uanze
oooh, ulinisusa
mbona hukunipigia
as if ni obligation ya mmoja kumpigia mwingine?
Inanikera mbaya.
Yeah...okay..
Hapo nimekusoma.. Ila,mtu kama huyo unamchana live,ingawa kwa upole... Ili meseji ifike..
kingine kinaniudhi
ni kumpigia mtu afu anasema
'mbona hujanipigia siku nyingi
umenitupa sana'
afu samtims hata mwanamme anasema hivyo
huwa sirudii kupiga asilani
kwani nina uvumilivu wa kubana basi
anakutana na za uso
bila kumumunya maneno
Sio wanaume peke yao hata wanawake. Cha msingi unamwambia neno moja tu ''mambo mengi'' full stop
Hiyo itakuwa too much...!@Kongosho
Bila shaka huyo mtu ni jinsia tofauti na wewe
Dah yan mimi hata hapa nilipo nina msala huo hadi nilioamua kuhama line kwa muda coz imekuwa kero sana na kumwambia nashindwa.asubuhi anapiga,mchana anapiga,jioni anapiga usiku anapiga...
usipokea anakuuliza why hukupokea
Hiyo care inakua kero!He/she care for you
nokia x3.
Mkwe, hiyo calculator yenye radio haina huduma hii,lol
Vile umefaulu mtihani kama Mwanasha JK, ntakununulia nokia yenye radio basi eeh