pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,362
- 2,504
Ata cjaelewa ulichokiongea unakusudia nn haswa
kwa viumbe toka nje ya dunia, kufika kwao duniani hakuta wapa mazingira sawia kuwawezesha kufanya yale tunayoyafikiria bila ya kuwa navisaidizi.
mfano mdogo hawawezi kujua lugha zetu ghafla kiasi cha kuwasiliana nasi vema, achilia mbali mifumo yao ya kibaiolojia haitaweza kustahimili duniani mfano mdogo pia tunaona vyombo vinavyoenda angani vikihitaji maboresho kadhaa kumuwezesha binadamu kukabiri changamoto kama upungufu wa oxygen n.k. suala hili pia wao litawahusu watahitaji suti maalum za kutembelea ...