Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,360
The event
Kuna,series inaitwa The Event..cjui imeishia wapi
The event
...
fananisha picha hizo mbili ya hiyo wakiongeza mafuta katika Rover na kuifuta picha ya kujazia mafuta (A)
...
Wabongo kwa kuamini conspiracy theories!
Area51 imejaa conspiracies kama ilivyo illuminati au freemasonry hapa wote mnajazana chenga tu Hakuna anaejua
Kama linalindwa nyie mnajuaje? Tatizo waaTz mmejua kuingia YouTube na Google basi wote mnajifanya researchers mliobobea. Smh
Hakuna uthibitisho wa aliens mahala popote duniani acheni kujazana ujinga
Sio siri tena maana tayari tunajua japo kidogo
Vitabu vya dini vip mkuu..?....kama ni biblia na quaran.......sijui bhana.Tatizo la dunia tunayoishi sasa ni deception imetawala...amna cha aliens hiyo ni label tu ili kupotezea ukweli kwamba satan real exist with his fallen angels...this beings their have ability to appear and disappear without a trace and travel with a speed that is beyond the law of physics, this are spritual beings
""Today we call them
angels and demons, tomorrow they will be called
something else..." -aleister Crawly
Someni vitabu vya dini vizuri ili msidanganyane
Vitabu vya dini vip mkuu..?....kama ni biblia na quaran.......sijui bhana.
Hili eneo lajulikana kama area 51 linapatikana katika jimbo la nevada uko Marekani, eneo hili ndiko kulipo na kituo kikuu cha ujasusi cha Marekani, na inaaminika kwamba Majajusi wa Marekani hukutana na viumbe vya ajabu na kupewa siri na maarifa ya kisayansi jinsi gani ya kuitawala dunia.
Na hapo ndipo kiumbe cha ajabu kilipoifadhiwa baada ya kukamatwa na majasusi wa marekani miaka ya 90 baada ya kuachwa na wenzake waliotoroka kusikojulikana na chombo chao UFO na kumsahau mwenzao aliekuwa mbali na kuishia mikononi mwa majasusi wa Marekani.
Si rahisi kwa mtu wa kawaida kufika uko hata mtawala wa marekani hufika uko kwa kiapo , na mara moja kwa miaka 10.
Mkuu Mbona Umehadithia Movie Tena Ninayo Hapa Home,inaitw Area51
Unaamini Vp Picha Za Kusadikika Je Ww Ushafka Area51 Na Kama Hujafka Umepajuaje???
HIYO NI MOVIE AMBAO HAMJAIONA MKAITAFTE INAITWA AREA-51
Hayaaa hio chai umeshatuuzia leta kashata sasa
Whaaat?
Alien ni mapepo???
Ha ha ha
So hizo sehemu zote kuna aliens wanafugwa?
Nimekwambia Hakuna uhakika wa uwepo wa aliens mahala popote, Hakuna mjuzi ataekuja kukwambia nini kinafanyika pale sababu Hakuna mwenye uhakika zote Ni conspiracies tu. Wabongo mnapenda sana conspiracies
Thibitisha kwamba hukuna allien
aliens tungewakamata bongo tukawahoji kwa kiswahili wangetupa siri za Saturn huko kwao, nasa wakikamatwa mars na kuhojiwa kwa lugha za huko sijui watajibu nini?
upuuzi mtupu!