Kwani bei kubwa? Mbona kawaida sanaHebu twende taratibu umesema nguo ya laki 150???
ha ha ha bi mkoloni imenichekesha mpaka nimeona aibu mimiUngechelewa kidogo tu ningeandika kataaa ndoa
Sema labda ni mnene afu mfupi dadeq akifikisha 40 atakua bi mkoloni
Nawewe unashauri haaaaaaHata mi nilitaka kumshauri hilo
Kwannha ha ha bi mkoloni imenichekesha mpaka nimeona aibu mimi
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Sawa unaweza oa mke mdogo, halafu naye baada ya muda anamzidi Dada yake humo ndani utakuwa na (semitellar )fuso mbiliVijana wa siku hizi, tuanaogopa majukumu.
Tutaanza kuwa dampo maana wamezidi matusi, wakati wao wanafichiwa siri nyingiVipi mumeo akiianza kukosa pulling....unajiskiaje mdada?
wanaume mdomoni wako vizuri kuongea ila wapeleke field ndio utagundua kwa nin serengeti boys muhimuTutaanza kuwa dampo maana wamezidi matusi, wakati wao wanafichiwa siri nyingi
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Umeona eee na wanajitahidi kutukana wanawake balaa ila kuishi peke yao hawaweziwanaume mdomoni wako vizuri kuongea ila wapeleke field ndio utagundua kwa nin serengeti boys muhimu
ana masiala huyuHebu twende taratibu umesema nguo ya laki 150???
Naona kisu kimekupiga kwenye mfupa sasa unataka kusawazisha. Embu jitunzeni dada yanguVipi mumeo akiianza kukosa pulling....unajiskiaje mdada?
kujitunza muhimuNaona kisu kimekupiga kwenye mfupa sasa unataka kusawazisha. Embu jitunzeni dada yangu
Ila jf 🤣🤣Hebu twende taratibu umesema nguo ya laki 150???