kwani huo uma*ay* wake wewe unakuathiri nini....ajitaid kuwekeza la sivyo atazeeka vibaya!! simpendi kwa uma*ay* wake
nahisi atakuwa nanilii vile au nimekosea mkuuDiamond ni mwanamziki fulani hivi wa Tanzania ambaye alichukua tuzo. Anajua kulimiliki sana jukwaa awapo anaimba. Alishatoka na Wema.
Hivi wewe ni nani vile?
tehe teheHapo ndio Domo alipobugi......
kwani huo uma*ay* wake wewe unakuathiri nini....
Samahani mkuu Diamond ndo nani tena???
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums