ndiye msanii kipenzi cha wana africa masharik kwa sasa,kwa ubunifu,juhud na kujituma,amekua ndiye mwanamuzic ghari zaid tz(ni ten millions kwa show na mapromota deile wanampapatikia,kwa wiki cyo chin ya shows tatu mpaka nne)ndiye mwanamuzic anayepiga show zisizochosha(ana tuzo ya mtumbuizaji bora)on youtube video zake ndiyo zinatizamwa zaid kuliko mwanamuzic yeyote tz(video yake ya mbagala ishatizamwa na viewers zaidi ya laki 8,moyo wangu viewers zaid ya laki 5 .,kama hamjui,tayali amefanya collabo na J martins na mchakato wa video unaendelea kwa kutafuta ma-model(itarecodiwa tz na abroad) then atafanya collabo na p-square
na aliye nyuma ya mafanikio haya(aliye muunganisha na Psquare,Jmartins)ni meneja wake Ruge mutahaba
kwa haya.
na kwa uchache,ndani ya mda mfupi wa kua kwenye gemu tayari anamiriki gari la milion 60,anamiriki nyumba tatu,na tayari yupo kwe mchakato wa kujenga hotel yenye hadhi ya 4stars...sina budi kukupongeza na nina imani baada ya mda mfupi,atakua ni moja ya wanamuzic wakubwa barani africa
na wanaomtabiria atakua kama Mr nice,wanakosea sana
GO DIAMOND..WEWE NDIYE AINA YA WANAMUZIC TUNAOWAHITAJ
na aliye nyuma ya mafanikio haya(aliye muunganisha na Psquare,Jmartins)ni meneja wake Ruge mutahaba
kwa haya.
na kwa uchache,ndani ya mda mfupi wa kua kwenye gemu tayari anamiriki gari la milion 60,anamiriki nyumba tatu,na tayari yupo kwe mchakato wa kujenga hotel yenye hadhi ya 4stars...sina budi kukupongeza na nina imani baada ya mda mfupi,atakua ni moja ya wanamuzic wakubwa barani africa
na wanaomtabiria atakua kama Mr nice,wanakosea sana
GO DIAMOND..WEWE NDIYE AINA YA WANAMUZIC TUNAOWAHITAJ