sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Wiki hii Tanzania imeng'ara baada ya msanii wake Diamond kuweka rekodi ya kupata views milioni 10 siku ya 8 baada ya kutoa hit song aliyomshirikisha papaa mobimba KOFI OLOMIDE.
Ngoma hiyo inayoenda kwa jina la WAAH ilitoka siku ya tarehe 30 Novemba muda wa saa 6 mchana na ikapata views milioni 10 siku ya tarehe 8 saa sita usiku, hivyo kufanikiwa kuingiza views milioni 10 siku ya 8
Kama picha unavyoiona hapo chini video ilipopata views milioni 10 ilikuwa ni siku ya 8.
Kwa staili hii kijana inabidi apewe pongezi nyingi maana sio jambo jepesi kufikisha views milioni 10 ndani ya siku 8.
Lakini kwa upepo huu wa collabo za congo na TZ kufanya vizuri, Diamond atapigilia msumari hapo hapo mpaka kieleweke.
Huenda kwa sasa akimshirikisha awilo Longomba ataweza kufikisha views milioni 10 pengine hata siku ya sita.
Pia wasanii wengine wastuke, wasiefanye mziki kwa mazoea, wajaribu kubadilika na kubuni njia mpya za kuteka soko.
Hongera sana Diamond
Ngoma hiyo inayoenda kwa jina la WAAH ilitoka siku ya tarehe 30 Novemba muda wa saa 6 mchana na ikapata views milioni 10 siku ya tarehe 8 saa sita usiku, hivyo kufanikiwa kuingiza views milioni 10 siku ya 8
Kama picha unavyoiona hapo chini video ilipopata views milioni 10 ilikuwa ni siku ya 8.
Kwa staili hii kijana inabidi apewe pongezi nyingi maana sio jambo jepesi kufikisha views milioni 10 ndani ya siku 8.
Lakini kwa upepo huu wa collabo za congo na TZ kufanya vizuri, Diamond atapigilia msumari hapo hapo mpaka kieleweke.
Huenda kwa sasa akimshirikisha awilo Longomba ataweza kufikisha views milioni 10 pengine hata siku ya sita.
Pia wasanii wengine wastuke, wasiefanye mziki kwa mazoea, wajaribu kubadilika na kubuni njia mpya za kuteka soko.
Hongera sana Diamond