Nyumba tatu wapi hapo? Au kijijini kwao maana hapa Dar si mchezo kujenga nyumba.
Hivi hela analipa kodi kutokana na mapato ya show?
Hotel Four Star gharama yake ni sh ngapi vile?
Samahani mkuu Diamond ndo nani tena???
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
diomond yule mwenye domo linalomwagika?
Hata mimi simfahamu.......Wema ndio nani?
diomond yule mwenye domo linalomwagika?
ndiye msanii kipenzi cha wana africa masharik kwa sasa,kwa ubunifu,juhud na kujituma,amekua ndiye mwanamuzic ghari zaid tz(ni ten millions kwa show na mapromota deile wanampapatikia,kwa wiki cyo chin ya shows tatu mpaka nne)ndiye mwanamuzic anayepiga show zisizochosha(ana tuzo ya mtumbuizaji bora)on youtube video zake ndiyo zinatizamwa zaid kuliko mwanamuzic yeyote tz(video yake ya mbagala ishatizamwa na viewers zaidi ya laki 8,moyo wangu viewers zaid ya laki 5 .,kama hamjui,tayali amefanya collabo na J martins na mchakato wa video unaendelea kwa kutafuta ma-model(itarecodiwa tz na abroad) then atafanya collabo na p-square
na aliye nyuma ya mafanikio haya(aliye muunganisha na Psquare,Jmartins)ni meneja wake Ruge mutahaba
kwa haya.
na kwa uchache,ndani ya mda mfupi wa kua kwenye gemu tayari anamiriki gari la milion 60,anamiriki nyumba tatu,na tayari yupo kwe mchakato wa kujenga hotel yenye hadhi ya 4stars...sina budi kukupongeza na nina imani baada ya mda mfupi,atakua ni moja ya wanamuzic wakubwa barani africa
na wanaomtabiria atakua kama Mr nice,wanakosea sana
GO DIAMOND..WEWE NDIYE AINA YA WANAMUZIC TUNAOWAHITAJ
4stars!!!??? ya Udongo!!!!????
Join Date : 25th September 2012
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received1
Likes Given0
NA UTASEMA TUU...NANI ALIYEKUTUMA????
RUGE huyu huyu naemjua mimi hahaha kushineyiiii
ndiye msanii kipenzi cha wana africa masharik kwa sasa,kwa ubunifu,juhud na kujituma,amekua ndiye mwanamuzic ghari zaid tz(ni ten millions kwa show na mapromota deile wanampapatikia,kwa wiki cyo chin ya shows tatu mpaka nne)ndiye mwanamuzic anayepiga show zisizochosha(ana tuzo ya mtumbuizaji bora)on youtube video zake ndiyo zinatizamwa zaid kuliko mwanamuzic yeyote tz(video yake ya mbagala ishatizamwa na viewers zaidi ya laki 8,moyo wangu viewers zaid ya laki 5 .,kama hamjui,tayali amefanya collabo na j martins na mchakato wa video unaendelea kwa kutafuta ma-model(itarecodiwa tz na abroad) then atafanya collabo na p-square
na aliye nyuma ya mafanikio haya(aliye muunganisha na psquare,jmartins)ni meneja wake ruge mutahaba
kwa haya.
Na kwa uchache,ndani ya mda mfupi wa kua kwenye gemu tayari anamiriki gari la milion 60,anamiriki nyumba tatu,na tayari yupo kwe mchakato wa kujenga hotel yenye hadhi ya 4stars...sina budi kukupongeza na nina imani baada ya mda mfupi,atakua ni moja ya wanamuzic wakubwa barani africa
na wanaomtabiria atakua kama mr nice,wanakosea sana
go diamond..wewe ndiye aina ya wanamuzic tunaowahitaj