OMG........and who on earth do you think can replace you?.......Nlikumisi pia ndo maana nlipoona thread yako nikaijongea faster....... And I will marry you!
Nije saa ngapi umesema?......... Yaani nshanenepa kabla sijala.... mbona wanifanyia kusudi mpaka babu nadondosha udenda mbele za watu? nyam nyam nyam........ I salute you Ashadii. You are the best cook in the world... I can swear if you ask.
Na hiyo bold hapo....... who is the luckiest guy?........ nahisi kumwonea wivu flani hivi.....
Nshazeeka, hebu nikumbushege kwa PM. Sijui kama nlishakamata mahari ya kutosha.Jamani babu mbona wanitega hali you know him.... Dah!..lol
Am jeolous..... even in recipe givings LOLNo babu... just giving him the recipe...
Ashadiii wamwona huyu mchokozi?Nywele saluni...
Chakula ni kitu muhimu kwa vyote, chakula ktk mapenzi chaleta joto na kutia hamasa baina ya wapenzi! Pasipo chakula sita kwa sita ni tatizo, watoto kupatikana ni ndoto then posibility ka kupoteza nguvu kazi ni kubwa!
Aisee!....Chakula ni kitu muhimu kwa vyote, chakula ktk mapenzi chaleta joto na kutia hamasa baina ya wapenzi! Pasipo chakula sita kwa sita ni tatizo, watoto kupatikana ni ndoto then posibility ka kupoteza nguvu kazi ni kubwa!
Nshazeeka, hebu nikumbushege kwa PM. Sijui kama nlishakamata mahari ya kutosha.
Am jeolous..... even in recipe givings LOL
Ashadiii wamwona huyu mchokozi?
Aisee!....
Angalia sana mkuu. Na ukila sana chakula bado kwenye sita kwa sita inakuwa tabu nyingine.....
Kinda ask the same question.. yaani amekaa ki-Asha Asha kabisaaa. Yaani kama wewe vile.Aisha is it you hapo katika Avatar?? If indeed it is you HONGERA for your guts...
and you look beautiful dear... Thanks for acknowledging my post...
Niko kwenye inbox huku........ na mawani yangu. Huyo Mentor tumwombee njaa. Anatutafutia ubaya katika familia yetu.Babu usijali naku pm... alafu leo akija natupa lawama hajanitambulisha vizuri...
Alafu don't be jealous hata akipika haitafikia nitacho kupikia...lol
Alafu huyo Mentor wewe muache tu naona dawa yake yachemka....lol
Aisee leo umeamkia upande upi? Mbona unatoa mapointi kama unamwaga lekcha ya Mastaz Of Sayansi in Cooking Technology (Edukesheni)Ilo sasa.. alafu shida yake sometimes unaweza usione hapo hapo but
in the long run, inasumbua saana maana ilo tendo ku enjoy you
have to want it sio tu mambo ya obligation... na hakuna kitu uharibu sometimes kama food...
Babu usijali naku pm... alafu leo akija natupa lawama hajanitambulisha vizuri...
Alafu don't be jealous hata akipika haitafikia nitacho kupikia...lol
Alafu huyo Mentor wewe muache tu naona dawa yake yachemka....lol
Mi bana ni babu wa wajukuu zem geloz. Nyie zem boyz mna utata sana. Mnaniombea nife ili haka kabaisko kangu mkauze mkanywee pombe. Hawa wa kike wakiolewa wanawachuna waume zao afu wanamtumia babu yao hela ya udoro na kununulia mkongojoz..... si eti Ashadii eh?Jamani babu uchokozi nimetoa wapi!?? niliuliza tu kujua...
Maana wewe babu mtata sana, sisi wajukuu zako wa kiume inatubidi wakati mwingine tuulize kama hawa ni Wajukuu ama 'wajukuu' tusijegongana na babu yetu mpendwa...ama nimekosea mbe!??
Ashadii, babu anajua kwa nn nimeuliza..
Kinda ask the same question.. yaani amekaa ki-Asha Asha kabisaaa. Yaani kama wewe vile.
Niko kwenye inbox huku........ na mawani yangu. Huyo Mentor tumwombee njaa. Anatutafutia ubaya katika familia yetu.
Aisee leo umeamkia upande upi? Mbona unatoa mapointi kama unamwaga lekcha ya Mastaz Of Sayansi in Cooking Technology (Edukesheni)
Jamani babu uchokozi nimetoa wapi!?? niliuliza tu kujua...
Maana wewe babu mtata sana, sisi wajukuu zako wa kiume inatubidi wakati mwingine tuulize kama hawa ni Wajukuu ama 'wajukuu' tusijegongana na babu yetu mpendwa...ama nimekosea mbe!??
Ashadii, babu anajua kwa nn nimeuliza..
Orayt...........niko Inbox huku. Nasubiria maPM. Usimwambie mtu. Wakiniulizia waambie nimekufa. Sawa eh?Usijali babu sasa hivi pm inafika bila shida... Alafu huyo hapo mtoto sana bana mimi mmama....lol
Alafu kuhusu Mentor.... Babu soma signature yangu maana nime badilisha....
Never hate your enemies. It affects your judgement - Mario Puzo/God Father
Babu naona ni Breakfast ya nguvu nilopata mpaka lunch nimeshiba
alafu na chakula ya huyo mjukuu asubuhi... hufanya wonders for my brain...lol
Mi bana ni babu wa wajukuu zem geloz. Nyie zem boyz mna utata sana. Mnaniombea nife ili haka kabaisko kangu mkauze mkanywee pombe. Hawa wa kike wakiolewa wanawachuna waume zao afu wanamtumia babu yao hela ya udoro na kununulia mkongojoz..... si eti Ashadii eh?