Umuhimu wa chakula katika mapenzi/mahusiano

Asha sie kwetu huku uswahilini tunakula kwa pamoja,
si unakumbuka ule mchezo wa kitoto wa kula mbakishie baba...............?
hatuna mambo sijui ya sahani kila mtu na yake, sijui kuwasha candle,
ukiona mshumaa umewashwa basi ni mpaka TANESCO wamechukua kilicho chao,
Matunda sijui, ndo hivo tena kuyala mpaka baba afurahi au ujue kuna mgonjwa hapo home..................
mmmh, wewe Asha karibu kwetu ujionee mwenyewe, kila kukicha afadhali ya jana lol..........



Kula pamoja (in case of wapenzi...) naona tena ndio best option...
alafu kama ndio unataka kumkaribisha mwenza.. nothing adds to
a romantic atmosphere kama candles... hivyo not bad kutumia mshumaa..
Na matunda ni mpangilio for hakuna sehemu wanauza matunda cheap
kama uswahilini, embe waweza nunua pale Mwenge for 500/= hali ilo ilo
embe ukanunua Gongolaboto kwa 150/=... what are you telling me Bacha??lol
Wacha visingizio....lol
 
"The way to a man's heart is through his stomach" - Wahenga.

Thanks sana Ashadii,
Labda swali la nyongeza tu-yeyote anaeza jibu:

Je, vipi nikimkaribisha rafiki kwangu tuje kupika wote? Je itaharibu raha ya jioni hiyo ama?
Personally (na kabla sijatoa hadithi yangu), nadhani hiyo ni more romantic kuliko aje akute nimeshapika...
 
"The way to a man's heart is through his stomach" - Wahenga.

Thanks sana Ashadii,
Labda swali la nyongeza tu-yeyote anaeza jibu:

Je, vipi nikimkaribisha rafiki kwangu tuje kupika wote? Je itaharibu raha ya jioni hiyo ama?
Personally (na kabla sijatoa hadithi yangu), nadhani hiyo ni more romantic kuliko aje akute nimeshapika...


Mentor hio ya kupika woote ni nzuri saana lakini IMO sio kwa 1st date...
maana bado hamjazoeana, kunakua na awkwardness fulani hivi... mara mwiko
umeanguka, mara sahani kugongana... personally naweza hata unguza...lol
ila kama mko karibu na mmezoeana tayari... very romantic!!
 
Mentor hio ya kupika woote ni nzuri saana lakini IMO sio kwa 1st date...
maana bado hamjazoeana, kunakua na awkwardness fulani hivi... mara mwiko
umeanguka, mara sahani kugongana... personally naweza hata unguza...lol
ila kama mko karibu na mmezoeana tayari... very romantic!!

Haha...first date unaenda kwa mshkaji!?? Ashadii...
 
Haha...first date unaenda kwa mshkaji!?? Ashadii...


ha ha ha.... Si unajua tena, anakuambia do you mind me cooking we have a quiet evening??
of coz he has to be a gentleman, ndio maana nimesema make sure siku hio you do not do it...
what an impression utaweka....
 
ha ha ha.... Si unajua tena, anakuambia do you mind me cooking we have a quiet evening??
of coz he has to be a gentleman, ndio maana nimesema make sure siku hio you do not do it...
what an impression utaweka....

Mshangao wangu ni kuwa on the first date unaenda kwa mshkaji? afu unataka asifanye ze nidful...no wonder mnaishiwa kusema mmechezewa!
As in, mimi nikikukaribisha kwangu ati ndo first date..i mean business ata nikikudanganya na dinner and what nots!
Ila ilo tuliache,
Nilikuwa na rafiki yangu wa kike tuliyefahamiana wakati ninasoma.
Wakati nakaribia kumaliza chuo nikawa naishi nje (kwa maana ya nyumba ya kupanga instead ya hostels).
Nikawa namkaribisha kwangu weekends, ila nikajikuta napika mwenyewe.
Nilipomuuliza vipi si uje tupike wote?
Akanambia ati amekuja kwangu so ni wajibu wangu kumpikia.
Aliponimaliza kabisa ni aliponiambia, yeye si mke wangu bado so si sahihi yeye kupika nami!
Hivi ndo inavyotakiwa ama?
 
Mshangao wangu ni kuwa on the first date unaenda kwa mshkaji? afu unataka asifanye ze nidful...no wonder mnaishiwa kusema mmechezewa!
As in, mimi nikikukaribisha kwangu ati ndo first date..i mean business ata nikikudanganya na dinner and what nots!
Ila ilo tuliache,
Nilikuwa na rafiki yangu wa kike tuliyefahamiana wakati ninasoma.
Wakati nakaribia kumaliza chuo nikawa naishi nje (kwa maana ya nyumba ya kupanga instead ya hostels).
Nikawa namkaribisha kwangu weekends, ila nikajikuta napika mwenyewe.
Nilipomuuliza vipi si uje tupike wote?
Akanambia ati amekuja kwangu so ni wajibu wangu kumpikia.
Aliponimaliza kabisa ni aliponiambia, yeye si mke wangu bado so si sahihi yeye kupika nami!
Hivi ndo inavyotakiwa ama?


ha ha ha... to the highlighted....

Tumetoka katika different societies with different standards and out look of things...
Naamini mdada yeyote wa ki Tanzania ni lazima angekusaidia - na hata kukuambia
kua akusaidie wewe utulie pembeni, kama kumbu kumbu zangu nzuri katika uzi
wangu wa KWA NINI JF?? Uliwahi gusia kua umechukua degree Kenya?
(Please correct me if i am wrong....) huyo dada ni Mkenya??
Then tutaendelea na discussion...
 
ha ha ha... to the highlighted....

Tumetoka katika different societies with different standards and out look of things...
Naamini mdada yeyote wa ki Tanzania ni lazima angekusaidia - na hata kukuambia
kua akusaidie wewe utulie pembeni, kama kumbu kumbu zangu nzuri katika uzi
wangu wa KWA NINI JF?? Uliwahi gusia kua umechukua degree Kenya?
(Please correct me if i am wrong....) huyo dada ni Mkenya??
Then tutaendelea na discussion...

Duh, una kumbukumbu mpaka unaniudhi..
well, siyo mkenya, actually ni Burundian. Na kuna posts nyingi washkaji wamekuwa wakiwasifia wadada from this country plus Rwanda..sijui hizo sifa wanazitoa wapi.
Kwani ukiachia maumbo yao...hawana kingine cha kuongeza...really!
Ila hapo utaifa una uhusiano kwani?
 
ha ha ha... to the highlighted....

I thought hapo ungesikitika...wewe unacheka!
Seriously, a gentleman-kama unavyotaka awe- on the first date hawezi kukukaribisha kwake, hata iweje!
Atakuomba mtoke out for a drink, ama lunch, icecream, et al..kutegemea na alivyokusoma.
Sidhani kama kwenda dinner or kwenda kwake on the first date (UNLESS, mmefahamiana sana kwa muda na hiyo date ni ile formality tu) ni appropriate.
Ama pia inategemeana na utaifa? tujulishane hapa pliz...am about to start dating..likizo niliyojipa inanitosha!
 
Duh, una kumbukumbu mpaka unaniudhi..
well, siyo mkenya, actually ni Burundian. Na kuna posts nyingi washkaji
wamekuwa wakiwasifia wadada from this country
plus Rwanda..sijui hizo sifa wanazitoa wapi.
Kwani ukiachia maumbo yao...hawana kingine cha kuongeza...really!
Ila hapo utaifa una uhusiano kwani?


ha ha ha... pole nimekuudhi kwa kumbu kumbu zangu... Hua nakumbuka bana...
Hio hapo juu, hizo sifa i am guaranteeing kua ni Physical for they are the best!

utaifa una uhusiano kwani?

Utaifa una maana kubwa saana katika kum define mtu in all ways possible...

Unapotaka mwanamke with guaranteed confidence, exposure, intelligence,
kujitambua, independent, or emotions un attached... then this you will get
with high probability from a Kenyan lady than a Tanzanian....

Unapotaka mwanamke with guaranteed unyenyekevu, minimum intelligence,
lack of complete kujitambua, dependent, emotions attached... then this you
will get with high probabilty from a Tanzanian lady than a Kenyan....

Why?? Culture... manifested with traditions, education, customs and the like...
 

  1. Chakula katika tendo lenyewe la 6/6

Kweli kabisa tena hususan ile blue pill viagra ni chakula tosha kaisa kwa hii kazi...:) (just joking)

Serious though nice post na kweli chakula ni muhimu na sio tu ili tuishi but enjoying the process as well, Yes Aphrodisiacs works, lakini sometimes ninafikilia some of this so called aphrodisiacs its just in the mind
 
Kweli kabisa tena hususan ile blue pill viagra ni chakula tosha kaisa kwa hii kazi...:) (just joking)

Serious though nice post na kweli chakula ni muhimu na sio tu ili tuishi but enjoying the process as well, Yes Aphrodisiacs works, lakini sometimes ninafikilia some of this so called aphrodisiacs its just in the mind


You've gat that right about aphrodisiacs being in the mind... for kama
you do not think of how to apply it in an arousing way then hio tena
sio aphrodisiac... kwa chochote kile kifaacho kutumika...
Thanks for acknowledging the post...

On a serious note kuhusu Viagra... naona it can be associated with food.
as in using it in the process of seduction (kwa watumiaji....)
 
ha ha ha... pole nimekuudhi kwa kumbu kumbu zangu... Hua nakumbuka bana...
Hio hapo juu, hizo sifa i am guaranteeing kua ni Physical for they are the best!


Sitaki kuanzisha ubishi ila kwa hilo pia mmh...sidhani kama I agree wit them! Plus, hawajui mamboz..yanni pathetic kabisa!!!
sijui hwakufundwa kwako...aaarh!
tuliache hili kabisa!!!!! topic closed!
 
Sitaki kuanzisha ubishi ila kwa hilo pia mmh...sidhani kama I agree wit them! Plus, hawajui mamboz..yanni pathetic kabisa!!!
sijui hwakufundwa kwako...aaarh!
tuliache hili kabisa!!!!! topic closed!


Mentor it seems umefanya research ya kutosha in that sector....lol
OK topic closed....
 
utaifa una uhusiano kwani?

Unapotaka mwanamke with guaranteed confidence, exposure, intelligence,
kujitambua, independent, or emotions un attached
..
. then this you will get
with high probability from a Kenyan lady than a Tanzanian....

Unapotaka mwanamke with guaranteed unyenyekevu, minimum intelligence,
lack of complete kujitambua, dependent, emotions attached... then this you
will get with high probabilty from a Tanzanian lady than a Kenyan....

You mean I can't get those -highlighted, red- in a Tanzanian lady?
 
You mean I can't get those -highlighted, red- in a Tanzanian lady?


You can definately get them in a Tanzanian lady... if you look close enough
you will find i said a high probability... why pretend otherwise just for
urguments sake?? Ni wazi kua in mot cases the red highlighted are
found more in those who have been fortunate to be educated... And
Mentor it is common knowledge wanawake wasomi ni wengi compared to TZ.
 
You can definately get them in a Tanzanian lady... if you look close enough
you will find i said a high probability... why pretend otherwise just for
urguments sake?? Ni wazi kua in mot cases the red highlighted are
found more in those who have been fortunate to be educated... And
Mentor it is common knowledge wanawake wasomi ni wengi compared to TZ.

Gotcha...
turudi kwenye topic ya chakula..
Kuna hili nilikutana nalo,
"Ati, ananikaribisha kwake afu ananipikia ugali...hivi ananionaje huyu mwanaume!??"
I thought ulisema chakula 'gani' siyo priority kubwa kwenu as long as kimepikwa vizuri...
 
Gotcha...
turudi kwenye topic ya chakula..
Kuna hili nilikutana nalo,
"Ati, ananikaribisha kwake afu ananipikia ugali...hivi ananionaje huyu mwanaume!??"
I thought ulisema chakula 'gani' siyo priority kubwa kwenu as long as kimepikwa vizuri...


Mimi naamini chakula chochote kile ni maandalizi Mentor...
ila tu with ugali you have to be extra careful the type of mboga
una provide pamoja na side plates vitu vya kuweka... BUT..
bana ukipikwa kienyeji lazima u mind...lol
 
ha ha ha.... Si unajua tena, anakuambia do you mind me cooking we have a quiet evening??
of coz he has to be a gentleman, ndio maana nimesema make sure siku hio you do not do it...
what an impression utaweka....
pal

ukishaweka hizo "principles" kwenye relationship, automatically inakua cold

I dont mind the needful even at the first minute we are together as long as it is spontaneous and sweet

haya ya kuvuta subra yanaongeza sana nafasi ya optional analysis
 
Back
Top Bottom