omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Umesahau Uranium inaokotwa kwa vipolo !
Hapana kaka sio siku hizi. Wachukuaji (wawekezaji) wakubwa wameshaingia kuanzia hazina ya MAKETE, Mgeta hadi kusini. Na sasa tunashugulikia sera maalumu ya kuvutia uwezekaji zaidi/salama huko. Ule ulaji wa MCC una mkono wake hapo.
omarilyas