YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,207
- 37
Ungwini wangu ni upi huo unaouchukia yakhe? au bado una hasira na mimi tangu enzi za Gimme the Loot?
I am not ngwini or a scientist, just an average guy like Joe the Plumber. I think, read and reason on everything.
For your information I am one of the few people who are trying to push for Tanzania to go Solar and Wind Power and reduce dependency on Hydropower because of draught and de-forestation!
Sasa kama nyie spana boi, hamuoni kuwa Umeme wa Pangaboi na Jua unaweza kutupa alternative japo 30% kupunguza hizo Hydro au Diseli ambazo zinapuliti nchi, je mmelala usingizi wa namna gani, mtoto wa mjini kama mimi niwaze ubora wa umeme wa jua?
Hate the game bwana not a playerR ndio maana nakuambia hata Kapukeki atakukimbia kisa unakokotoa hisabati left and right kujaribu kumwambia ana sura nzuri na umbo zuri!
Ukizidiwa chukua Shairi la Shekispia umuimbie Kapukeki na si Algorithim!
Unachemka! Kama kawaida stori mureeeeefu, mie wala sikumbuki mambo ya gimme the loot.....sinaga mashinde na mambo ya JF, kwangu mimi hii ni pastime tu!! LOL
Kuhusu solar power wewe unajuaje kama mabibi na mabwana umeme hawajawaambie hao mangwini wenzako juu ya hilo?? Mie nina mshkaji anafanya kazi na GE kule Erie tena wanamwamini kaa nini sijui.....lakini mchizi angekuwa bongo angekuwa anauza masufuria kwenye duka la muhindi....watu hawapewi nafasi, hawasikilizwi, mishahara midogo yaani alimuradi ni tafrani tupu...
Mnaua nchi....