Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Tunaweza kwenda mbali zaidi tukaiga ...Singapore, Taiwan, China etc (hawa tulikuwa nao sawa wakati fulani)...au unasemaje
Kama tulikuwa sawa kwa nini wametuacha tena kwa mbali tu....? Najua utasingizia sera mbovu...