FP:
a. Mahakama za kidini Tanzania tayari zipo
b. Zinafanya kazi
c. Zinaendeshwa na waumini wenyewe
d. Maamuzi yake yanatambuliwa na nchi
e. Hazikuanzishwa na serikali, kufadhiliwa au kwa namna yoyote ile kujadiliwa bungeni. Zimeanzishwa by the very fact kwamba ni sehemu ya dini hizo.
Mkijiji, asante hapo ndo panapo shangaza kwanini wasichukue desa hapo? badala yake wanataka ivuruga nchi kwa kudai upendeleo uwe ni haki kwao?