halafu dhana hii ya utegemezi ni mbovu kabisa!!! jifunze kujitegemea!!!kama unataka kusaidiwa kwa masharti hayo,si lazima wakusaidie ukiwa huku,unaweza kwenda huko kwao ukafaidike vzr na hiyo misaada unayofdhani huwezi ipata ukiwa huku!!
Nitajie Shule au Hospitali iliyojengwa na Wakristo wa Tanzania bila Msaada wa NJE ya Nchi?